Recent content by ThaTBoY maxwell

  1. ThaTBoY maxwell

    Wanaosema Rais Samia mpaka 2030 wanajua maana ya demokrasia? Je, somo la Awamu ya Tano halikueleweka?

    Kuna watu fulani fulani wanapitishwa kipindi kigumu sana na mama Samia. Msipokuwa makini mwaka huu mtakunya moto.
  2. ThaTBoY maxwell

    Nafasi za kuteuliwa zinaondoa ufahamu na akili

    Njaa njaa njaa Hilo ndo tatizo kuu.
  3. ThaTBoY maxwell

    Ubaguzi umezidi, hamu ya kurudi nyumbani inanijia kwa kasi

    Kwanini unafikiri kuiba supermakert ni jambo dogo na la kuvumilika? Unashangaza sana, au ndo tabia zako huko ughaibuni?
  4. ThaTBoY maxwell

    Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

    Njoo sumbawanga huku, hilo ni jambo la dakika 10 unavikuta vitu vyako na mwizi wako wanakusubiri kwako.
  5. ThaTBoY maxwell

    Matumizi ya neno "Lugha ya kitaalam"

    "NUTRITION VALUE" Ha haa, dah!
  6. ThaTBoY maxwell

    Wazanzibari acheni kuwaminya Watoto visogo

    Ndo maana hata kwenye mitihani ya kitaifa yanakuwa ya mwisho mwisho
  7. ThaTBoY maxwell

    Shule ya msingi Ufulaga Kaliua wanafunzi wanasomea madarasa ya nyasi, wananchi waililia CCM

    As long as tumekombolewa tangu march 17 mwaka huu, naamini kila kitu kitaenda saw a chini ya mama Samia. Wawe watulivu mama si katili kama mwendazake, atarekebisha hilo suala.
  8. ThaTBoY maxwell

    Wilaya yenye guest house nyingi

    Njombe ndo sehemu yenye guest house nyingi zaidi Tanzania, Na ikifika ijumaa SAA 2 zote zimejaa hadi jumatatu, nyiee!! ule mji wananyanduana ni balaa
  9. ThaTBoY maxwell

    Mlevi, mzee wa kupiga hesabu baada ya matumizi

    Ndugu mwandishi, Asante sana kwa kunitonesha kidonga kibichi kabisa japo naamini ni kwa lengo zuri. Siku ya NNE Leo nmelala ndani siamini matumizi nilofanya kati ya ijumaa na jumamosi. NIMEACHA POMBE RASMI.
  10. ThaTBoY maxwell

    Tanzania lini tuliwahi kuwa matajiri hadi tuanze kulalamika tunarudi kwenye umaskini?

    Waliaminishwa na mwendazake kwamba sisi kama nchi ni dona kantri. Ilifika wakati wakaamini kwamba sisi ni sawa na marekani tu Hakika, UJINGA ni kipaji kama ilivyo kuimba kwaya
  11. ThaTBoY maxwell

    Nilichapa bakora mtoto wa jirani akafa

    Acha kutudanganya bwege wewe, tangu lini msamaha ukatolewa ukiwa mahabusu? Kwamba ulisamehewa kabla hujakutwa na hatia?
Back
Top Bottom