The lost
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 2,695
- 8,209
Wakuu wameanza tena,
Wanasema mama mpaka 2030 na atakayempinga atakiona. Najaribu kuwaza hawa watu tunaposema "Kila amtegemeae mwanadamu amelaaniwa" hawaelewi? Awamu ya Tano walianza hivihivi, wakamtia kibri JPM wakakufuru na mwisho laana ikawa juu yao.
Ameanza Kigwangala, jana tukamsikia tena Mwenyekiti CCM Mara na hawafanyi kwa bahati mbaya! la hasha bali ni kujaribu kuonesha ni kwa namna gani wamepotoka. At the end their regime will be fated to end badly.
Wanasema mama mpaka 2030 na atakayempinga atakiona. Najaribu kuwaza hawa watu tunaposema "Kila amtegemeae mwanadamu amelaaniwa" hawaelewi? Awamu ya Tano walianza hivihivi, wakamtia kibri JPM wakakufuru na mwisho laana ikawa juu yao.
Ameanza Kigwangala, jana tukamsikia tena Mwenyekiti CCM Mara na hawafanyi kwa bahati mbaya! la hasha bali ni kujaribu kuonesha ni kwa namna gani wamepotoka. At the end their regime will be fated to end badly.