Tanzania lini tuliwahi kuwa matajiri hadi tuanze kulalamika tunarudi kwenye umaskini?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Kuna watu wanaleta propaganda za ajabu sana nchini, kwamba eti tumerudi kwenye umaskini kwa sababu ya Rais mpya.

Naomba kuwauliza lini tumewahi kuwa matajiri? Hizi mentality za kitumwa tumezitoa wapi? Unafunguliwa kifikra na kupewa Uhuru wa kuwaza na kusema unasema umekuwa maskini?

Kwamba tulipotoka ambapo kesi 147 zilikuwa zakubambikiwa ndo utajiri? Kwamba uchumi tulioaminishwa upo 6.7 kumbe upo 4.8 ndo utajiri? Kwamba uharibifu wa demokrasia ndio utajiri? Upokwaji wa Uhuru wakujieleza ndio utajiri?

Kwamba wanapropaganda Hawa wamefika sehemu wanaamini kwenye vitu kuliko kuamini ustawi wa watu? Hapana tukubali kwamba tumechelewa na tunahitaji Katiba mpya yakutuepisha na mkono wa chuma. Taifa linahitaji watu si mtu.
 
kalale mkuu, hujui kuwa tulikuwa matajiri maana tulijenga uwanja wa ndege Chato..! Watu wana makasiriko sana maana wameachwa yatima wameishia kutapatapa, ngoja asubuhi ifike utaona yatima wanavyokushambulia. Kuna wajinga wachache waliozoea vya bure na kubebwa sasa hivi mbereko imekatika wana makasiriko kweli kweli.
 
kalale mkuu, hujui kuwa tulikuwa matajiri maana tulijenga uwanja wa ndege Chato..! Watu wana makasiriko sana maana wameachwa yatima wameishia kutapatapa, ngoja asubuhi ifike utaona yatima wanavyokushambulia. Kuna wajinga wachache waliozoea vya bure na kubebwa sasa hivi mbereko imekatika wana makasiriko kweli kweli.
Ushauri wa bure kwao,ni kuwa wautunze usiote nyasi,hats kujifunzia kuendesha ile gari isiyotumia wese ni njia mojawapo ya utunzaji.
 
Hatujazoea kusikia ukweli. tumezoea kudanganywa nchi yetu ni tajiri huku watumishi wa nchi tajiri hawaongezwi mishahara.
Tunaambiwa tunajenga kwa pesa zetu za ndani huku tunakopa kimya kimya....tulikuwa matajiri wa propaganda na uongo uongo, yani unaliona libaba lizima lina midevu hadi imeota mvi linadanganya watu wazima wenzie hadharani hadi unabaki kushangaa.
 
Hatujazoea kusikia ukweli. tumezoea kudanganywa nchi yetu ni tajiri huku watumishi wa nchi tajiri hawaongezwi mishahara.
Tunaambiwa tunajenga kwa pesa zetu za ndani huku tunakopa kimya kimya....tulikuwa matajiri wa propaganda na uongo uongo, yani unaliona libaba lizima lina midevu hadi imeota mvi linadanganya watu wazima wenzie hadharani hadi unabaki kushangaa.
"hatujazoea kusikia ukweli"
ia reflect akili za watanzania wengi
 
Kuna watu wanaleta propaganda za ajabu sana nchini, kwamba eti tumerudi kwenye umaskini kwa sababu ya Rais mpya.

Naomba kuwauliza lini tumewahi kuwa matajiri? Hizi mentality za kitumwa tumezitoa wapi? Unafunguliwa kifikra na kupewa Uhuru wa kuwaza na kusema unasema umekuwa maskini?

Kwamba tulipotoka ambapo kesi 147 zilikuwa zakubambikiwa ndo utajiri? Kwamba uchumi tulioaminishwa upo 6.7 kumbe upo 4.8 ndo utajiri? Kwamba uharibifu wa demokrasia ndio utajiri? Upokwaji wa Uhuru wakujieleza ndio utajiri?

Kwamba wanapropaganda Hawa wamefika sehemu wanaamini kwenye vitu kuliko kuamini ustawi wa watu? Hapana tukubali kwamba tumechelewa na tunahitaji Katiba mpya yakutuepisha na mkono wa chuma. Taifa linahitaji watu si mtu.
Kwa kifupi nchi kama vile imepata uhuru tarehe 17/03
 
Hatujazoea kusikia ukweli. tumezoea kudanganywa nchi yetu ni tajiri huku watumishi wa nchi tajiri hawaongezwi mishahara.
Tunaambiwa tunajenga kwa pesa zetu za ndani huku tunakopa kimya kimya....tulikuwa matajiri wa propaganda na uongo uongo, yani unaliona libaba lizima lina midevu hadi imeota mvi linadanganya watu wazima wenzie hadharani hadi unabaki kushangaa.
Sure tumezoea blabla
 
Jiwe alijua kulishika taifa kwa propoganda!

Na kwa vile wajinga ni wengi, alifanikiwa sana kwenye propaganda baada ya kudhibiti vyombo vya habari. Nashukuru sana nilibaki na ufahamu wangu wote, bila kuhaidaika na propaganda za dhalimu.
 
Hatujazoea kusikia ukweli. tumezoea kudanganywa nchi yetu ni tajiri huku watumishi wa nchi tajiri hawaongezwi mishahara.
Tunaambiwa tunajenga kwa pesa zetu za ndani huku tunakopa kimya kimya....tulikuwa matajiri wa propaganda na uongo uongo, yani unaliona libaba lizima lina midevu hadi imeota mvi linadanganya watu wazima wenzie hadharani hadi unabaki kushangaa.

Cha ajabu watu tunaosema ni wasomi, walikuwa wanatoka hadharani na kusema nchi yetu imekuwa tajiri baada ya yule huyo tapeli na katili kuwa kiongozi!
 
Kuna watu wanaleta propaganda za ajabu sana nchini, kwamba eti tumerudi kwenye umaskini kwa sababu ya Rais mpya.

Naomba kuwauliza lini tumewahi kuwa matajiri? Hizi mentality za kitumwa tumezitoa wapi? Unafunguliwa kifikra na kupewa Uhuru wa kuwaza na kusema unasema umekuwa maskini?

Kwamba tulipotoka ambapo kesi 147 zilikuwa zakubambikiwa ndo utajiri? Kwamba uchumi tulioaminishwa upo 6.7 kumbe upo 4.8 ndo utajiri? Kwamba uharibifu wa demokrasia ndio utajiri? Upokwaji wa Uhuru wakujieleza ndio utajiri?

Kwamba wanapropaganda Hawa wamefika sehemu wanaamini kwenye vitu kuliko kuamini ustawi wa watu? Hapana tukubali kwamba tumechelewa na tunahitaji Katiba mpya yakutuepisha na mkono wa chuma. Taifa linahitaji watu si mtu.
ccm ni cancer ya taifa ili
 
umasikini husababishwa na vitu kama rushwa na uchumi kumilikiwa na wachache. dr. magufuli aliliona hili na kuamua kupambana nalo kwa maneno na vitendo.

mama badala yake naona yuko busy kuwaramba miguu wala rushwa waliojivika kiremba cha wafanyabiashara. lazima turudi kwenye umasikini.
 
Back
Top Bottom