Vitu vingine muangalie CIO ukifanya utafiti wako unatoa na amri ooh vyeti mala CCTV caml mmh!!! Biashara nyingi ziko hivyo kufa kufaana....mie pia ninawazo LA kujenga"guesthouse" nisubir wazinifu nikusanye....
Daah! Mada ya Leo imenigusa haswaa wapendwa...mie Nina ofisi yangu yaani duka la vitu mchanganyiko rugha nyepesi 'takataka kuna chizi hapa kijijn kwetu nilimkuta tangu nakuja hadi sasa mashaallh huyo chizi kila siku asubuhi lazima aje hapo ofisini kunisalimu yaani daily!!! Vipi hapo kuna...
Mie cijaelewa hapo unachouliza , je unataka kujua kuhusu mtaji unaohitajika au Faida ya hiyo biashara? Kiukweli kama eneo ulilopo linauhiyaji wa hiyo k2 inalipa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.