Recent content by Thabit Karim

  1. Thabit Karim

    Naomba ushauri: Mtaji, eneo bora, faida na changamoto za kufungua mini Supermarket mjini

    Asante. Ngoja tuone na wenye really experience ya hii biashara
  2. Thabit Karim

    Naomba ushauri: Mtaji, eneo bora, faida na changamoto za kufungua mini Supermarket mjini

    Ni kweli ila kaka sio kila kitu na kila mara ni kutanguliza tu hela. Sometimes tunasaidiana tu
  3. Thabit Karim

    Naomba ushauri: Mtaji, eneo bora, faida na changamoto za kufungua mini Supermarket mjini

    Habari wanajamii, Naomba msaada wa ushauri na uzoefu wenu. Niko kwenye hatua za awali za kupanga kufungua mini supermarket/mart ndani ya mji, lakini kabla sijaanza rasmi ningependa kupata taarifa sahihi kutoka kwa waliowahi au wanaoendesha biashara hii. Naomba kusaidiwa kujua mambo yafuatayo...
  4. Thabit Karim

    Microwave oven ipi ina choma kuku, samaki na nyama

    Habari naomba ushauri ni microwave oven ipi nzuri kuchoma nyama, kuku na samaki ambayo ni durable na yenye bajeti isiyozidi laki nne brand iwe yoyote ila Hisense itapendeza zaidi
  5. Thabit Karim

    Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

    Jana katia goli 4 na assist 3 kwny mechi moja😂😂😂
  6. Thabit Karim

    Ushauri hotpot ambazo hazipozi

    😂😂 sh ngapi
  7. Thabit Karim

    Ushauri hotpot ambazo hazipozi

    Ndungu naombeni ushauri ni hotpot gani ambazo hazipozi kwa masaa zaidi ya 8
  8. Thabit Karim

    SPEEDAF Tanzania wanachukua mpaka siku saba kufanya clearence ya mizigo Tanzania, aibu hii

    Ninaandika haya malalamiko kuhusu huduma ya uondoaji wa mizigo inayotolewa na SPEEDAF Tanzania. Kila siku, wateja wanakutana na changamoto kubwa katika mchakato wa kufanya clearance ya mizigo. Hali hii inasababisha usumbufu mkubwa kwa biashara zetu na inaathiri uchumi wetu kwa ujumla. Kwanza...
  9. Thabit Karim

    Nauliza nawezaje kupata software za bure?

    Namaanisha kudownload apps km Photoshop n.k za Monterey
  10. Thabit Karim

    Nauliza nawezaje kupata software za bure?

    Thanks mkuu. Naweza kupata for free kwny hiyo site?
  11. Thabit Karim

    Nauliza nawezaje kupata software za bure?

    Habari ndugu zangu. Natumia iMac yenye iOS Monterey. Nauliza nawezaje kupata software za bure? Na je naweza kudownload software kutoka torrent?
  12. Thabit Karim

    Sikujua kama madeni yanakosesha usingizi kiasi hiki

    Kwa kweli mungu aniepushie mbali madeni
  13. Thabit Karim

    Mtanzania gani ataweza kuja kuweka rekodi hii? Rais Samia alishaweka rekodi zake.

    Kwa mambo anayofanya mama kwa watumishi rasmi sasa mm ni chawa wake..
Back
Top Bottom