hahahahahahahaaa.... kaona hadhira mnazingua zingua anawashushia tu ma episode halafu hela ata ya maziwa hamtumi!! ndo mana kaamua kuwachinjia baharini halafu kamute kimyaaaaa!! Ila lara 1 sio vizuri ivo ujue.... Am so bad with compliments but your stories turn grey to white because they are...
aende hospitali akapime kwanza ili waconfirm kama ni kaswende kweli then kama ndo yenyewe akipewa single dose ya benzathine penicillin injection inatosha sana kuimprove kama hiyo kaswende itakua ya mwanzo(primary).
mimi siwazungumzii machalii wa chuga nawazungumzia mademu wa chuga.... aseehh mademu wa chuga ni noma!! yani juzi nimechukua namba za mademu kama wanne hivi wa sehemu tofauti tofauti hata hawajuani ili niwatongoze halafu nisubir nani ataingia line wa kwanza ili niboreshe, sasa wakati najiandaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.