roselina john
JF-Expert Member
- Aug 17, 2017
- 758
- 942
My baby jamani don't listen to them, nakuomba please mimi ni wako japo tumekutana hapa JF na kupanga appointment zetu, I know you get me.
Ukiniacha mimi nitaumia zaidi, kama ungelijua usimsikilize rafiki yangu wanawake tuna wivu wa kijinga mno.
Ndio nasema, baby kama ulijua utaniacha kwanini ulinitongoza kucheza na hisia zangu, is not good, umesahau mimi na tulikupokea kwetu tukaenda mpaka Kigali kwa mama yako? Leo unanikataa.
Nimembembeleza kwa lugha zote, mnisaidie tumbembeleze.
Ukiniacha mimi nitaumia zaidi, kama ungelijua usimsikilize rafiki yangu wanawake tuna wivu wa kijinga mno.
Ndio nasema, baby kama ulijua utaniacha kwanini ulinitongoza kucheza na hisia zangu, is not good, umesahau mimi na tulikupokea kwetu tukaenda mpaka Kigali kwa mama yako? Leo unanikataa.
Nimembembeleza kwa lugha zote, mnisaidie tumbembeleze.