Recent content by TEZI JIKE

  1. T

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Hii ndo tafasiri ya wanaume tumeumbwa
  2. T

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Wakati wewe unalilia kuishi wengine wanakisaka kifo kimewasahau
  3. T

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Wimbo wa ray c ft wyre kuridhiwa mwenye nao tafadhari
  4. T

    Vidole vyangu havisomeki kwenye machine za biometric

    Safari hii kama ndo hivyo tutatumia mpaka uume maana nao una mistari tofauti na mwingine kama vidole vinakataa vyote na lazima usajili kwa njia ya alama ya kidole utafanyaje sasa ukose mawasiliano ama?
  5. T

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Nisadieni ngoma moja ameshilikishwa steve kabuye inaitwa TANGAZO nahisi kama na bandago yumo nyingine jina nimesahau na muimbaji nimemsahau kiitikio kinasema "wacha part wee ngoma lipigwe watu wacheze wacha part iendelee"
  6. T

    Tuanzishe Kampeni; #FUKUZA*RSA*SADC

    Uzi huu kama ingewezekana ufutwe haraka sana unataka kuanzisha chuki na kuchochea ubaguzi ambao gharama yake ni kubwa umetofautiana nn mawazo yako na hicho kilicho fanyika huko south mtu tu anatoka huko kavimbiwa makande unaanza kuchochea chuki dhidi ya wageni nini maana yake
  7. T

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    "Kwankaja" dondosha hizi plz kama zitapatikana 1.Zote za unique sisters 2.dudubaya ft stara thomas SIKUTAKA 3.nyama ni nyama kicheche utamaliza bucha sikumbuki ni nani 4.Bwana misosi ft redsun HESHIMA 5.Dk John PANKI STAILI 6.soggy dog USINGIZI 7.soggy dog ANADADO
  8. T

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Aisee hii ndo JF asante sana mkuu sikutegemea kupata nyimbo hizi
  9. T

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Vijimambo vya kenya
  10. T

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    "Kwankaja" mie naombaga ngoma hizi hapa tu nikizipata ntashukuru sana mpaka leo sijazipata 1.starehe gharama ya L.W.P MAJITU 2.Najitoa mhanga ya LUTEN KALAMA 3. Mshenga ya BANZA STONEft MANDOJO&DOMO KAYA 4.Mkao wa kula TMK MANYIGU
  11. T

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Kenya kuna mambo
  12. T

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Nahisi ni sadat wa waswahili wimbo moja ya mashairi yaliyomo ni kama hawachekani wenye chongo na mwenye jicho bovu, hauonekani uchawi barabarani,hawachekani punguani na kichaa nafikili ni huo ama?
  13. T

    Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

    Mimi niliwaza kwamba kwanini hii kitu ikose patina wakati palipo na dume lazima na jike iwepo wakati huo huo hiyo dume yake tu siijui inakuwagaje labda kwa walio kumbana nayo wanaweza kuielezea inakuaje. Basi ndo hivyo tu jina likawa Tezi jike basi sasa siijui inafananaje ila tu kina mama...
  14. T

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Umo humu humu jaribu kupitia huko mwanzo utaupata mie ninao hapa kwenye simu ila shida nashindwa kuuweka hapa bado bado nina ka ugeni kidogo
Back
Top Bottom