Recent content by TESRA

  1. TESRA

    Mke wangu hataki nimshike kalio tuki-sex

    😁 kumbe na walokole wanatako siku hizi
  2. TESRA

    Sioni value ya elimu yetu ya Tanzania zaidi ya kujisifia vyeti, ndio sababu wahitimu wengi hawajaariwa wana hali mbaya kuzidi std 7 anayepambana kitaa

    Tanzania haileweki unaweza kuishia standard 7 na ukachakaa mbaya na pia unaweza fka mpak university na ukatoboa vizuritu atakama haukupata ajira
  3. TESRA

    Mke wangu amebadilika sana

    Sawa mwaya usimpige
  4. TESRA

    Top 10 poorest Muslim countries in the world 2026

    Unaumwa wewe yaani Tunisia ni masikini kuizidi Tanzania.
  5. TESRA

    Abood yapandisha bei ya nauli

    Kubwa jinga wewe.
  6. TESRA

    Israel na Marekani wameishiwa Silaha kabisa. Sasa ni kipindi cha pili watajuta

    Unaijua bajeti ya jeshi la Marekani wewe muirani wa Tandare
  7. TESRA

    Ni kweli Iran imeonewa lakini kushambulia nchi ambazo hazipo katika vita nae ni kuongeza maadui

    Toka Iran ipoteze kiongozi wake mkuu wa nchi, imekuwa ikishambulia kambi za kijeshi za Marekani zilizo katika nchi za kiarabu kama vile Kuwait, Falme za Kiarabu na nchi zingine. -Iran imeenda mbali na kushambulia kambi ya Uingereza iliyopo Cyprus, ambayo ipo mbali kabisa na mgogoro wa Iran...
  8. TESRA

    Mtaala mpya haujaeleweka? Au tunacheza na maisha ya watoto wetu?

    Masomo yote ya sayansi wameweka ni option. Biology ni option sio lazima. Core subjects ni kiswahili, english, maths, Htm, geography, na bussiness studies.
  9. TESRA

    Kuna ulazima gani mwanafunzi wa kidato cha pili kufanya mtihani wa Taifa???

    Kwani kuna hasara unapata ukiwepo au usipokuwepo?
  10. TESRA

    Shule za Kanisa Katoliki zinaweza vipi kutoa ufaulu mkubwa hata wakiwa na idadi kubwa ya wanafunzi?

    Nikiwa kama mwalimu wa shule x inayo milikiwa na kanisa RC. Kuna vitu vichache vinavyofanya matokeo yawe hivyo 1. Wanafunzi wanaochukuliwa wengi wanakuwa wazuri wanapoingia form one japo na wanafunzi wenye uwezo wa kati au mdogo wapo ila kuna jitihada hufanyika kwa walimu ili nao...
  11. TESRA

    Hii mitihani ya kidato cha nne nowdays imekuwa soft sana au ni watoto wana-IQ kubwa?

    Sababu ni nyingi sana. 1. Resources zimekuwa nyingi sana mashuleni, pia waalimu wamekuwa ni wengi wenye maarifa na mbinu tofauti tofauti za ufundishaji. 2. Mitihani nayo imekuwa uji sana. Nafundisha somo la history ukiangalia kwa miaka ya karibuni necta wamekuwa wakitoa mitihani simple sana...
  12. TESRA

    NECTA rudisheni utaratibu wa kutoa matokeo ya mtihani wa kidato cha nne na cha sita kwa majina kilichotokea si kigeni mitaani huku

    Nakurekebisha, matokeo ata ya darasa la nne saiz hawatoi kwa majina, sembuse darasa la saba na form two.
Back
Top Bottom