Toka Iran ipoteze kiongozi wake mkuu wa nchi, imekuwa ikishambulia kambi za kijeshi za Marekani zilizo katika nchi za kiarabu kama vile Kuwait, Falme za Kiarabu na nchi zingine.
-Iran imeenda mbali na kushambulia kambi ya Uingereza iliyopo Cyprus, ambayo ipo mbali kabisa na mgogoro wa Iran...
Masomo yote ya sayansi wameweka ni option. Biology ni option sio lazima. Core subjects ni kiswahili, english, maths, Htm, geography, na bussiness studies.
Nikiwa kama mwalimu wa shule x inayo milikiwa na kanisa RC. Kuna vitu vichache vinavyofanya matokeo yawe hivyo 1. Wanafunzi wanaochukuliwa wengi wanakuwa wazuri wanapoingia form one japo na wanafunzi wenye uwezo wa kati au mdogo wapo ila kuna jitihada hufanyika kwa walimu ili nao...
Sababu ni nyingi sana. 1. Resources zimekuwa nyingi sana mashuleni, pia waalimu wamekuwa ni wengi wenye maarifa na mbinu tofauti tofauti za ufundishaji. 2. Mitihani nayo imekuwa uji sana. Nafundisha somo la history ukiangalia kwa miaka ya karibuni necta wamekuwa wakitoa mitihani simple sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.