Recent content by TESRA

  1. TESRA

    JamiiForums Tanzania Mtengeneza maudhui ya unywaji pombe maarufu Tonie Professor augua Ugonjwa wa Ajabu, aomba msaada kwa wadau

    Kuna mmoja hivi sijajua ni nchi gani, anakuwa na vumbi jingi sana akijikung'uta. Sis tutacheka tu lakini mtakao umia milele kwa maradhi ni nyie mnao tengeneza contents zisizo na faida kwenu
  2. TESRA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu hataki nimshike kalio tuki-sex

    😁 kumbe na walokole wanatako siku hizi
  3. TESRA

    JamiiForums Tanzania Sioni value ya elimu yetu ya Tanzania zaidi ya kujisifia vyeti, ndio sababu wahitimu wengi hawajaariwa wana hali mbaya kuzidi std 7 anayepambana kitaa

    Tanzania haileweki unaweza kuishia standard 7 na ukachakaa mbaya na pia unaweza fka mpak university na ukatoboa vizuritu atakama haukupata ajira
  4. TESRA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu amebadilika sana

    Sawa mwaya usimpige
  5. TESRA

    JamiiForums Tanzania Top 10 poorest Muslim countries in the world 2026

    Unaumwa wewe yaani Tunisia ni masikini kuizidi Tanzania.
  6. TESRA

    JamiiForums Tanzania Abood yapandisha bei ya nauli

    Kubwa jinga wewe.
  7. TESRA

    JamiiForums Tanzania KERO Nahangaika kupata cheti changu UDOM kwa miaka mitano sasa

    Udom ni nini kwanza?
  8. TESRA

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani wameishiwa Silaha kabisa. Sasa ni kipindi cha pili watajuta

    Unaijua bajeti ya jeshi la Marekani wewe muirani wa Tandare
  9. TESRA

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Iran imeonewa lakini kushambulia nchi ambazo hazipo katika vita nae ni kuongeza maadui

    Toka Iran ipoteze kiongozi wake mkuu wa nchi, imekuwa ikishambulia kambi za kijeshi za Marekani zilizo katika nchi za kiarabu kama vile Kuwait, Falme za Kiarabu na nchi zingine. -Iran imeenda mbali na kushambulia kambi ya Uingereza iliyopo Cyprus, ambayo ipo mbali kabisa na mgogoro wa Iran...
  10. TESRA

    JamiiForums Tanzania Mtaala mpya haujaeleweka? Au tunacheza na maisha ya watoto wetu?

    Masomo yote ya sayansi wameweka ni option. Biology ni option sio lazima. Core subjects ni kiswahili, english, maths, Htm, geography, na bussiness studies.
  11. TESRA

    JamiiForums Tanzania Kuna ulazima gani mwanafunzi wa kidato cha pili kufanya mtihani wa Taifa???

    Kwani kuna hasara unapata ukiwepo au usipokuwepo?
  12. TESRA

    JamiiForums Tanzania Shule za Kanisa Katoliki zinaweza vipi kutoa ufaulu mkubwa hata wakiwa na idadi kubwa ya wanafunzi?

    Nikiwa kama mwalimu wa shule x inayo milikiwa na kanisa RC. Kuna vitu vichache vinavyofanya matokeo yawe hivyo 1. Wanafunzi wanaochukuliwa wengi wanakuwa wazuri wanapoingia form one japo na wanafunzi wenye uwezo wa kati au mdogo wapo ila kuna jitihada hufanyika kwa walimu ili nao...
Back
Top Bottom