kuna mfumo unatumika kupata majina na namba zao kwa wanafunzi walio maliza form four. ukinipa jina la shule uliyo maliza pamoja na mwaka nitakupatia majina ya uliohitimu nao pamoja nawewe ukiwemo. mbona ni kitu cha kawaida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.