Ndo kasemea kwaki sasa😂😂🤒Kamsemee kwa babaake
Bc aendelee kuvumilia 😂Ndo kasemea kwaki sasa😂😂🤒
Tayari unapigiwa kama ngoma broohata sex yenyewe siku hizi ni kama anakwepa tofauti na kipindi cha nyuma alikuwa anapenda sana hilo tendo au vihela anavyopata vinampa kiburi sielewi.
Njoo inbox nikusaidieMke wangu nimeishi naye wastani wa miaka 4 sasa alikuwa mnyenyekevu, mpole, si muongeaji sana hata akiwa na wenzie, heshima kwangu ni miongon mwa vitu nilijivunia kuishi naye, kuniskiliza na hakuwa mtu wa kujibizana na mimi.
Sasa ameanza kunijbu majibu ya mkato na wakati mwingine naweza mkemea jambo fulani akatoka nje huku anabamiza milango kavuta mdomo sjawahi kumpiga maana siamini katika kupiga mwanamke, nimejikuta natafakari mambo mengi sana maana nilimpa mtaji wa biashara pengine huko kwenye biashara yake amekutana na watu wamempa kiburi na kumfundisha tabia ngeni kwangu ukizingatia hata sex yenyewe siku hizi ni kama anakwepa tofauti na kipindi cha nyuma alikuwa anapenda sana hilo tendo au vihela anavyopata vinampa kiburi sielewi.
Juzi niliamua kwamba asifanye jambo lolote linalonihusu yaani asifue nguo zangu nitafua mwenyewe, asinipikie nikitoka kazini napika mwenyewe, sihitaji k yake tena na wala staki story nae. Kabaki amenuna tu na mi sina habari.
JE WAKUU NIMEAMUA VEMA AU NIFANYE NINI?
---------
Wakuu kheri ya 9D kwa wapigania haki wote wa TANGANYIKA.
Sio ujana ndio unaanzisha uzi bali ni demokrasia inampa mtu uhuru wa kutoa maoni,ni muhimu kulitambua hilo na kuwa na stahmala ya kuvumilia maoni ya wenzetu japo hatuyapendiVijana wa siku hizi bhana yani jambi dogo tu unaanzisha uzi kabisa!Nahisi ulioa wakati ambao sio sahihi! Man the f*ck up kid!
#kamahakunaulazimausiwowe😅
Hebu mpige kibao uone kama atakurudishiaMke wangu nimeishi naye wastani wa miaka 4 sasa alikuwa mnyenyekevu, mpole, si muongeaji sana hata akiwa na wenzie, heshima kwangu ni miongon mwa vitu nilijivunia kuishi naye, kuniskiliza na hakuwa mtu wa kujibizana na mimi.
Sasa ameanza kunijbu majibu ya mkato na wakati mwingine naweza mkemea jambo fulani akatoka nje huku anabamiza milango kavuta mdomo sjawahi kumpiga maana siamini katika kupiga mwanamke, nimejikuta natafakari mambo mengi sana maana nilimpa mtaji wa biashara pengine huko kwenye biashara yake amekutana na watu wamempa kiburi na kumfundisha tabia ngeni kwangu ukizingatia hata sex yenyewe siku hizi ni kama anakwepa tofauti na kipindi cha nyuma alikuwa anapenda sana hilo tendo au vihela anavyopata vinampa kiburi sielewi.
Juzi niliamua kwamba asifanye jambo lolote linalonihusu yaani asifue nguo zangu nitafua mwenyewe, asinipikie nikitoka kazini napika mwenyewe, sihitaji k yake tena na wala staki story nae. Kabaki amenuna tu na mi sina habari.
JE WAKUU NIMEAMUA VEMA AU NIFANYE NINI?
---------
Wakuu kheri ya 9D kwa wapigania haki wote wa TANGANYIKA.
Aisee, unamkandia huyo Wife kama vile una uhakika, je kama ni kisirani cha mimba tu?eti ulimpa mtaji wa biashara aji komboe, yesuu 🤔.
Mzee unge anzisha biashara, kisha yeye awe kama mwajiriwa aki zingua ni kutimua.
Hapo asha kutana na wa level zake, we kunguni uta mwambia nini 😂 😁
🤣🤣🤣🤣Kwenye issue za aina hii,hapa JF hua kuna majibu mawili tu ambayo utapewa,
- Unachapiwa
- Hauichapi inavyotakiwa.
Huo msimamo wako kaka una dosari kwa dunia ya leo,mkuu wa shule ni mwalimu pia na kama unadhani kuwa vyeo ndio humfanya mwanamke kuchepuka,sio sahihi,hivyohivyo alivyo mwalimu anaweza kuchepuka sana tuKosa lako ni kutaka kumbadili mkeo kutoka mama wa nyumbani hadi mama mfanyabiashara,wanawake akili zao wanazijua wao.
Kama ulitaka kutoa mke mfanyabiashara Bora ungeoa huyo,kuliko kuoa mama wa nyumbani ndo umfanye mfanyabiashara hakika utajuta.
Mke wangu ni mwalimu,nilianza kusikia vijimane o vya wakuu wa idara eti wampe ukuu wa shule ,mara namnyima Raha,duh huwezi amini nilimfuata Afisa Mmoja nikampasha maneno mzito sana na nikamwambia akome mara Moja,kwani halmashauri Ina walimu wengi wa kike na wanataka ukuu wa shule ,sio familia yangu.
Nikarudi na kwa shemeji yenu nikamwambia Mimi sikuoa mkuu wa shule,niliona mwalimu,kama ningetaka wakuu wa shule,wakati nakuoa walikuwepo,hivyo Kaa nyumbani tulia na uendelee na kazi zako za kawaida.
Mwanamke kwa kawaida akianza kujiona anakuzidi au mko sawa,lazima ndoa iyumbe