Wakati unahoji uwepo wa mungu,jaribu pia kuhoji uwepo wa shetani.
Everything has got its opposite.
If you believe that the existence of God is invalid,then its obvious that the existence of Satan is invalid so.
ÑIHAYO TU KWA LEO.... ASANTE
Walewale walamba asali wanagawana keki kwa namna ya kipekee.
ninachoamini mimi ni kwamba, hawa waliopewa scholarship wanauhakika wa kupata mkopo kutoka HESLB.
ushauri wangu scholarship hii ingelenga kuwasaidia watoto wanaotoka shule za serikali ambao wengi wao wana uchumi unaochechemea.
Binafsi nadhani shetani yupo ili sisi kama binadamu tutambue nafasi ya mwenyenzi mungu kwenye Maisha yetu, fikiria shetani angeliuawa mapema na mungu alafu binadamu akaja kuishi Maisha ya Raha, nadhani binadamu tusingetambua kwamba hili limefanyika kwa uwezo wa Mungu tutachukulia ni hali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.