Recent content by tescom

  1. T

    RC Makonda: Polisi mkiwakamata wahalifu wapigeni bila huruma, watakaohoji waje kwangu

    Nchi hii tuna wanasheria wengi sana lakini wanashindwa kutumia utaalam wao kuwashtaki watu wanaovunja katiba
  2. T

    Mtazamo: Kuhusu MCC kusitisha msaada wa MCC 2 na shughuli zake Tanzania

    Think out of the box Mr. Pole pole
  3. T

    MAGUFULI AFANYE ZIARA YA KUSHTUKIZA UGANDA

    Bomba la mafuta ni moja ya vitu vitavyoingizia taifa fedha nyingi kwa wakati wote na ajira nyingi. Biashara ya kukaa Ikulu na kusubiria matokeo ya mpinzani wako Kenya itakula kwetu na hatuwezi badilisha gia tena angani.
  4. T

    Mbunge wa Ubungo, Mhe. Kubenea akamatwa kwa amri ya DC Makonda

    Lol Lema atamtungua kwa manati
  5. T

    Dk. Meru asipofukuzwa, yatakuwa maajabu ya dunia!

    True, nimesoma nae na nimefanya nae kazi ni mtu mwadilifu sana ila sijui kama amebadilika alipoingia kwenye shamba la bibi (mali asili)
  6. T

    Bila upinzani imara rais angekuwa Membe

    upinzani imara ndani ya ccm
  7. T

    TRA na thamani ya magari

    Toa kwenye politics inafit Zaidi kwenye business forum
  8. T

    Zikiwa zimebaki siku tano, Home Shopping Centre yasitishwa uwepo wake

    Nafikiri sio lzm kila siku iwe 12bn, huo unaweza kuwa mzigo wa siku moja then siku nyingine ni 0 or less than 12bn
  9. T

    Waziri Simbachawene awashukia Lowassa na Dr. Magufuli

    Ameshakatwa anasubiri kusoma number october 25
  10. T

    Meneja wa kampeni UKAWA/CHADEMA hafai, aondolewe mara moja

    kama kuonyesha live tatizo ni pesa basi wajitahidi waonyeshe hata recorded ambazo wanaweza edit wanavyotaka irushwe itv/azam saa tatu usiku
  11. T

    CHADEMA asilia mko wapi? Mbona Lowassa anaongozana na wageni wenzake tu?

    Wote wakiongozana na president majimbo yote Zaidi ya 300 siku zilizobaki ni chache watapigwa bao kwenye ubunge
Back
Top Bottom