Recent content by tereweni

  1. tereweni

    Mtoto wa Rais Samia namsikitikia sana

    Mkuu nakuunga mkono Tuache wivu, tupmbane kuandaa maisha ya kesho
  2. tereweni

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Big time
  3. tereweni

    Mikopo ya bank za kibiashara aliyokuwa anakopa Magufuli machungu yake ndio yanaonekana sasa

    Sioni kama ni sawa kumtupia lawama Hayati kwa mwenendo wa mambo yalivyo hivi sasa. Magufuli alijitahidi mno kwa wakati wake kuhakikisha 1. Miundombinu inakaa sawa 2. Nidhamu ya watendaji serikalini inakuwa ya hali ya juu 3. Huduma muhimu i.e maji, umeme, Afya, Elimu, na chakula vinakuwa si...
  4. tereweni

    Madanguro yanayovunjwa na RC wa Dar ni kiduchu kwenye biashara moja kubwa sana

    Jambo kubwa, huanza na dogo. Asikate tamaa atayamaliza, ninyi mnao yajua sasa zaidi ya mwananyamala ni wakati wenu kutoa taarifa.
  5. tereweni

    Julius Malema anaongoza maandamano kuunga mkono ushoga na usagaji na kumpinga Rais Museveni

    You can not defend something without having an interest
  6. tereweni

    Nafikiria kuuza hati miliki ya maisha yangu ili nifurahiie maisha ningali hai

    Umaskini ni hatari, Na ndio maana, kila mmoja anapaswa kuukimbia na kupambana nao kwa kufanya kila linalowezekana kihalali. LAKINI SI KUUZA NAFSI ndugu, Wazo ilo ulilonalo jaribu kuliondoa and see the beauty of this life through hustling.
  7. tereweni

    Hivi kwanini mwendokasi huduma zinakuwa mbovu na wao ni monopoly?

    Mwendokasi kwa sasa umekua usafiri wa mateso ukilinganisha wakati unaanzishwa na madhumuni yake kiujumla. Umekokotoa vyema na umeshauri vizuri. Yafuatayo ni ya kuzingatia; 1. Waongeze idadi ya magari 2. Wafanye matengenezo ya magari yao 3. Madereva wao na viongozi wa vituo, wanachotakiwa...
  8. tereweni

    Comment ziwe fupi fupi

    Uchunguzi unaendelea [emoji849][emoji849][emoji849] Shubamit
Back
Top Bottom