Sioni kama ni sawa kumtupia lawama Hayati kwa mwenendo wa mambo yalivyo hivi sasa.
Magufuli alijitahidi mno kwa wakati wake kuhakikisha
1. Miundombinu inakaa sawa
2. Nidhamu ya watendaji serikalini inakuwa ya hali ya juu
3. Huduma muhimu i.e maji, umeme, Afya, Elimu, na chakula vinakuwa si...
Umaskini ni hatari,
Na ndio maana, kila mmoja anapaswa kuukimbia na kupambana nao kwa kufanya kila linalowezekana kihalali.
LAKINI SI KUUZA NAFSI ndugu, Wazo ilo ulilonalo jaribu kuliondoa and see the beauty of this life through hustling.
Mwendokasi kwa sasa umekua usafiri wa mateso ukilinganisha wakati unaanzishwa na madhumuni yake kiujumla.
Umekokotoa vyema na umeshauri vizuri.
Yafuatayo ni ya kuzingatia;
1. Waongeze idadi ya magari
2. Wafanye matengenezo ya magari yao
3. Madereva wao na viongozi wa vituo, wanachotakiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.