Kama ww utakuwa ulichagua dispensary sio hospital mm natumia hyo bima na nipo hospital moja kubwa ya serikali hapa dar matibabu napata kwa gharama yeyote na dawa pia zips,sema kuna vipimo ukiandikiwa inabidi upate ruksa maalum na vipimo hivyo ni vile vikubwa kabisa
Zipo kaka tembelea maeneo ya posta utawakuta wahindi na baadhi ya wabongo wanaziuza,ofcn kwetu watu wawili washauziwa na wahindi hzo cm fake na kusema og
Tecno ni cm nzuri kwa matumizi ya kawaida kama social météore uweke whatsapp na fb hapo utaipenda ila ukiwa mtu wa online muda wote na kuingiza maApp mengi utaichukia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.