nipeukweli
JF-Expert Member
- Jul 16, 2012
- 656
- 348
Startimes kama mnajua ya watu gani [emoji630] mtachukua majembe mkalime
Kabisa mkuu, vingamuz vya promotion huuzwa 74k.na vya kawaida huuzwa 130k.ukinunua cha promotion unapaswa kulipia kila mwez.. Hawabakizi hata tbc, ukitaka zionekane bure wanakutaka uongeze pesa ili ifikie 130k kutoka kwenye 74 k ulolipia awaliTatizo letu tunapenda kununua vingamuzi vya promosheni halafu tunasahau kuulizia vigezo na masharti
Mkuu kufungua baada ya kulipia hawana shida.
Lakini je wajuwa kwamba kulipia kisimbusi cha Star times ambao wapo kwenye FTA ni kuibiwa?
Je umejenga hoja ama kufikiria kudai haki zako ulizodhulumiwa kwa kulipia isivyo stahili hicho kisimbusi tangia ukinunue?
Halafu kutoonesha chaneli zingine za ndani kama alivyozitaja mtoa mada, ni uharamia wa taifa na viongozi wanaoendelea kufumbia uozo huo wananuka harufu ya uhujumu uchumi?
Kuna baadhi ya haki za raia ambazo hatuzijui!
Sasa tunapofumbuliwa macho, aidha tunaanza kubishi kwamba hizo si haki zetu ama kujikejeli wenyewe
kwamba vya "bure gharama"!
Mtu unaanza kujiuliza, hawa watu ni raia wa namna gani wasiopenda kuhoji haki zao?
Ama ni kampeni za mafisadi kuvuruga mada za raia za kufumbuana macho!
Hivi kuna watu na akili zao, wapo ambao hawaelewi kwamba kuna huduma zinazomstahili raia kuzipata bure kutokana na ulipa kodi wake na kuna huduma za kugharamia?
Mkuu kufungua baada ya kulipia hawana shida.
Lakini je wajuwa kwamba kulipia kisimbusi cha Star times ambao wapo kwenye FTA ni kuibiwa?
Je umejenga hoja ama kufikiria kudai haki zako ulizodhulumiwa kwa kulipia isivyo stahili hicho kisimbusi tangia ukinunue?
Halafu kutoonesha chaneli zingine za ndani kama alivyozitaja mtoa mada, ni uharamia wa taifa na viongozi wanaoendelea kufumbia uozo huo wananuka harufu ya uhujumu uchumi?
Kuna baadhi ya haki za raia ambazo hatuzijui!
Sasa tunapofumbuliwa macho, aidha tunaanza kubishi kwamba hizo si haki zetu ama kujikejeli wenyewe
kwamba vya "bure gharama"!
Mtu unaanza kujiuliza, hawa watu ni raia wa namna gani wasiopenda kuhoji haki zao?
Ama ni kampeni za mafisadi kuvuruga mada za raia za kufumbuana macho!
Hivi kuna watu na akili zao, wapo ambao hawaelewi kwamba kuna huduma zinazomstahili raia kuzipata bure kutokana na ulipa kodi wake na kuna huduma za kugharamia?
Mkuu kufungua baada ya kulipia hawana shida.
Lakini je wajuwa kwamba kulipia kisimbusi cha Star times ambao wapo kwenye FTA ni kuibiwa?
Je umejenga hoja ama kufikiria kudai haki zako ulizodhulumiwa kwa kulipia isivyo stahili hicho kisimbusi tangia ukinunue?
Halafu kutoonesha chaneli zingine za ndani kama alivyozitaja mtoa mada, ni uharamia wa taifa na viongozi wanaoendelea kufumbia uozo huo wananuka harufu ya uhujumu uchumi?
Kuna baadhi ya haki za raia ambazo hatuzijui!
Sasa tunapofumbuliwa macho, aidha tunaanza kubishi kwamba hizo si haki zetu ama kujikejeli wenyewe
kwamba vya "bure gharama"!
Mtu unaanza kujiuliza, hawa watu ni raia wa namna gani wasiopenda kuhoji haki zao?
Ama ni kampeni za mafisadi kuvuruga mada za raia za kufumbuana macho!
Hivi kuna watu na akili zao, wapo ambao hawaelewi kwamba kuna huduma zinazomstahili raia kuzipata bure kutokana na ulipa kodi wake na kuna huduma za kugharamia?
mimi fta zinabaki bure baada ya kifurushMkuu kufungua baada ya kulipia hawana shida.
Lakini je wajuwa kwamba kulipia kisimbusi cha Star times ambao wapo kwenye FTA ni kuibiwa?
Je umejenga hoja ama kufikiria kudai haki zako ulizodhulumiwa kwa kulipia isivyo stahili hicho kisimbusi tangia ukinunue?
Halafu kutoonesha chaneli zingine za ndani kama alivyozitaja mtoa mada, ni uharamia wa taifa na viongozi wanaoendelea kufumbia uozo huo wananuka harufu ya uhujumu uchumi?
Kuna baadhi ya haki za raia ambazo hatuzijui!
Sasa tunapofumbuliwa macho, aidha tunaanza kubishi kwamba hizo si haki zetu ama kujikejeli wenyewe
kwamba vya "bure gharama"!
Mtu unaanza kujiuliza, hawa watu ni raia wa namna gani wasiopenda kuhoji haki zao?
Ama ni kampeni za mafisadi kuvuruga mada za raia za kufumbuana macho!
Hivi kuna watu na akili zao, wapo ambao hawaelewi kwamba kuna huduma zinazomstahili raia kuzipata bure kutokana na ulipa kodi wake na kuna huduma za kugharamia?
Niliwapigia 0764 mia7mia8 wakanieleza kuwa vinafunguka kwa awamu ama niweke kifurushi, ndiyo kitakuwa kimefua Fta moja kwa moja, lakini bado sijafanya hivyo.mimi fta zinabaki bure baada ya kifurush
wala usifanye hivyo ni utapeli mtupu, mimi nililipia na kilivyoisha bado hakioneshiNiliwapigia 0764 mia7mia8 wakanieleza kuwa vinafunguka kwa awamu ama niweke kifurushi, ndiyo kitakuwa kimefua Fta moja kwa moja, lakini bado sijafanya hivyo.
Wameanza kuonesha zile local free.wala usifanye hivyo ni utapeli mtupu, mimi nililipia na kilivyoisha bado hakioneshi