Acheni chuki zisizo na msingi. Mitumba ni hii inaanza kudondoka hovyo. Si mlikuwa mnaona awamu ile ya wanoko ngojeni tu ability zitakaa Sawa huu ni mwanzo tu.
Mmeongea vingi lakini mmesahau kitu kimoja. Hizo overpriced 'supermarket' sasa hivi zinapata upinzani mkubwa wa kibiashara kutoka kwa independent 'supermarkets' ambazo zimejaa mitaani siku hizi. Watu kama Jambo supermarket and the like wanakimbiza sana. Kwanini niende Game au shoprite mlimani...
Kuna mzee aliuza nyumba yake kwa billion kadhaa prime area. Akawagaia watoto wake kama 500m kila mmoja. Hivi ninavyoandika Kuna mmoja hata hela ya vocha anaomba na mzee kashafariki.
Kuwa makini na hela ya urithi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.