Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,632
- 9,445
.hgjk
Itakuwa mali ya urithi.. ndio mana amewasifia sana wazee wake... namjulisha aweke akiba ya maneno.. matajiri hawanaga hizi tabia za makeleleMilioni 350 ya urithi inakupa jeuri ya kutukana watu hata huwajui na matusi yako based na hisia kuwa Baba zao walikimbia umande na waliendekeza ngono?..
Wewe bado sio tajiri..na hiyo mentality itaku cost very soon
AiseeWabarikiwe wazee waliojipinda kutafuta mali na kupiga kitabu kwa sana, leo hii wajukuu tunakula matunda yenu ..na sisi wajukuu tunapambana kwa jasho na damu kutafuta mali ili wajukuu zetu waje kula matunda ya Babu zao wasije kuishi kwa shida.
Poleni kwa wale ambao wazee/Babu zenu walikimbia shule ingawa walikuwa na utajiri wa ardhi mwenge,osterbay,masaki ila waliendekeza ngono wakauza ardhi yote ....wao wamekufa wajukuu mmeachiwa msala mnakula msoto na bahasha mkononi...pole sana
Mjifunze muanze kupambana muwatengenezee njia wajukuu wenu
Nilichokiona hapa wewe utabarikiwa kwa kuzitapanya hiZo mali.Wabarikiwe wazee waliojipinda kutafuta mali na kupiga kitabu kwa sana, leo hii wajukuu tunakula matunda yenu ..na sisi wajukuu tunapambana kwa jasho na damu kutafuta mali ili wajukuu zetu waje kula matunda ya Babu zao wasije kuishi kwa shida.
Poleni kwa wale ambao wazee/Babu zenu walikimbia shule ingawa walikuwa na utajiri wa ardhi mwenge,osterbay,masaki ila waliendekeza ngono wakauza ardhi yote ....wao wamekufa wajukuu mmeachiwa msala mnakula msoto na bahasha mkononi...pole sana
Mjifunze muanze kupambana muwatengenezee njia wajukuu wenu
Achana na waswahili. Huyo mla tembele kama kawa, pesa huwa haisemwi semwi hovyo.Nilidhani utaonesha hizo mil 350 ama useme ulipozipata,, kumbe umekuja kutukana wazazi wetu????
We kweli hamnazo.... shukuru Mungu umezaliwa ulipozaliwa ila usitukane wazazi wa wenzako, maana hakuna aliyechagua pa kuzaliwa.
Rusha hata cha kumi mkuu njia inanitandika hapa,Wabarikiwe wazee waliojipinda kutafuta mali na kupiga kitabu kwa sana, leo hii wajukuu tunakula matunda yenu ..na sisi wajukuu tunapambana kwa jasho na damu kutafuta mali ili wajukuu zetu waje kula matunda ya Babu zao wasije kuishi kwa shida.
Poleni kwa wale ambao wazee/Babu zenu walikimbia shule ingawa walikuwa na utajiri wa ardhi mwenge,osterbay,masaki ila waliendekeza ngono wakauza ardhi yote ....wao wamekufa wajukuu mmeachiwa msala mnakula msoto na bahasha mkononi...pole sana
Mjifunze muanze kupambana muwatengenezee njia wajukuu wenu
Kipato huleta majivuno.Wabarikiwe wazee waliojipinda kutafuta mali na kupiga kitabu kwa sana, leo hii wajukuu tunakula matunda yenu ..na sisi wajukuu tunapambana kwa jasho na damu kutafuta mali ili wajukuu zetu waje kula matunda ya Babu zao wasije kuishi kwa shida.
Poleni kwa wale ambao wazee/Babu zenu walikimbia shule ingawa walikuwa na utajiri wa ardhi mwenge,osterbay,masaki ila waliendekeza ngono wakauza ardhi yote ....wao wamekufa wajukuu mmeachiwa msala mnakula msoto na bahasha mkononi...pole sana
Mjifunze muanze kupambana muwatengenezee njia wajukuu wenu
Miaka mitano? Kwa mwendo huu mwakani tu tarehe kama ya Leo muulize amebakiwa na kiasi Gani.Baada ya miaka 5 ukiwa na hata milioni 20...niite mbwa nmekaa 👉