Huu uzi ni uzi ambao mtu anatakiwa auelewe vizuri kabla hajawa u reply.. Umenichukua muda wa masaa kadhaa nikasema niuamkie alfajiri ili niusome na kuuelewa...
Hivyo basi niweze kusema Ndugu paskali uzi wako nimeuelewa vizuri...
Hii nchi inamatajiri ambao wangeweza kupewa baadhi ya miradi...
Mimi hii kitu kwa mbali naiamini.
Maana sijawah kuona Mungu anasema Hii ni dhambi lakini ikibidi TENDA. How comes M.Muhamad aliwaambia waislam kula ngurue(MDUDU) Ni dhambi ila ikibidi kwenye JANGWA na kama hakuna MSOSI KULENI!!!!!
Halafu mbona uladhambi ya kula ngurue haipo kwenye amri 10 za...
Mi nadhani ndugu Pascal Mayalla anafaa sana. Tena anakuja na ki segment chake cha siasa na katiba. Hatari fireeeeee....
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhan ni kweli maana hata kwa wachaga wakizaliwa mapacha na ikitokea mmoja wao kafa basi mwingine harusiwi kumzika mwingine. Hii niliiona moshi(marangu) pacha pater alivyofariki basi Paul hakurusiwa kumzika pacha mwenzake...
Ila kingine Dingi, umejuaje habari za ulimwengu wa spiritual umewahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.