Habarini wadau na wanajf wote. Hongereni kwa kuuzingatia ushauri wa wataalamu wa afya ili kuzuia maambukizi mapya ya covid-19.
Nauliza Bei mpya ya vifurushi vya internet vya wiki kwa mtao wa tigo vimebadilika kutoka sh 3000/=?
nimejaribu kumnunua lakini napata and ya kuwa Sina salio la kutosha ilihali nimejaza vocha za sh 4000/= Kama Kuna mwenye kuyajua mabadiliko anisaidie tafadhali.
Nauliza Bei mpya ya vifurushi vya internet vya wiki kwa mtao wa tigo vimebadilika kutoka sh 3000/=?
nimejaribu kumnunua lakini napata and ya kuwa Sina salio la kutosha ilihali nimejaza vocha za sh 4000/= Kama Kuna mwenye kuyajua mabadiliko anisaidie tafadhali.