Kwa akili hizi za Makonda 'wazee endeleeni kutawala nchi,naona vijana hatujawa tayari kabisa kuiendesha hii nchi,akili zetu hazijakomaa bado labda mpaka na sisi tuanze kuzeeka ndio tuwe na akili za kiutu uzima'.
Siyo sawa kuwatupia lawama wataalamu wa IT,kwani umeshasahau kuhusu siasa kutawala ktk kila eneo la nchi hii?umesahau kwamba tenda za kutengeneza websites za taasisi na idara za serikali hutolewa kwa kupeana pasipo kuangalia sifa stahiki?
Wakati serikali nyingine duniani zinafanya kila ziwezavyo kuwawezesha wananchi wake kifedha (kupitia kuwapunguzia mzigo wa kodi) ili watengeneze purchasing power base kubwa kwa afya ya biashara za ndani ambayo ndio chanzo kikuu cha mapato ya serikali, serikali yetu sisi inafanya kila iwezalo...
Sio ngumu kumbaini huyo mtumbuliwa Pasco, atakuwa ni yule aliyepingana na maamuzi ya kukurupuka ya mkulu hivi karibuni. Amini nakwambia, akiondoka huyu Mpogolo ambaye ameonyesha assertiveness ya hali ya juu halafu akawekwa huyo bosi mpya wa aina ile ya 'NDIYO MZEE' basi tujiandae kwa majanga...
Umeongea kitu kilichokuwa akilini miaka mingi sana,viongozi wengi tunaowachagua are not abreast with technology issues na hili ndo tatizo,inaniuma sana ninapoona viongozi wetu wanashindwa kufahamu mchango wa IT ktk kutengeneza ajira, kuboresha huduma za kijamii zitolewazo na serikali,kusaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.