HB.com
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 607
- 638
mwambie huyoSaa 2 Hii Hata Chai Hujanywa Unamuwaza Wizkid!!!! Wanaume Wa Dar Bwana
mwambie huyoSaa 2 Hii Hata Chai Hujanywa Unamuwaza Wizkid!!!! Wanaume Wa Dar Bwana
asee nimekupenda bureeesina muda
n
asee nimekupenda bureee
wewe ndo kitu cha kijinga namba mojaMsimfananishe Wizkid na vitu vya kijinga "mond
Miss u babywewe ndo kitu cha kijinga namba moja
ngoja ichuje ntaenda kuionaKwa mtu anaye faham mziki wa Africa hauitaji uzungu my mwingi kama ktk nyimbo ya shabba ya wizkid, nyimbo ya kawaida, ukitaka nyimbo yako Africa ihit washirikishe wamarekani lkn hakikisha beat ina mahazi ya kiafrika kama beautiful onyinye ya psquare na sio unyamwezi mwingi alafu nyimbo hama. Wiz si wa kwanza Kuna 2face ft t-pain hovyo, davido ft meek mill hovyo psquare ft TI ovyo etc na uhakika nyimbo ya shabba ni ya kawaida sana, ila wa bongo tena wazee wa oya oya kwa sababu fulani hawampendi basi nyimbo wanaiona kali. Ila D asiwaige hawa yy aendelee na midundo yake Kutoka Africa na atatoboa mbona angelika kidjo kuchukua grammy na midundo yake ya kiafrika. Shabba wa kawaida mwisho wa siku utakuwa kama nyimbo ya davido ft meek mill. Siku ukitaka mafanikio jiamini na kuwa ww kama ww utafanikiwa na wazungu wenzetu wanataka vitu vipya sio vile wanavyovifanya wao eti ww ufanye zaidi yao never kwanza watakushangaa na watakuona mjinga
Kwa mtu anaye faham mziki wa Africa hauitaji uzungu my mwingi kama ktk nyimbo ya shabba ya wizkid, nyimbo ya kawaida, ukitaka nyimbo yako Africa ihit washirikishe wamarekani lkn hakikisha beat ina mahazi ya kiafrika kama beautiful onyinye ya psquare na sio unyamwezi mwingi alafu nyimbo hama. Wiz si wa kwanza Kuna 2face ft t-pain hovyo, davido ft meek mill hovyo psquare ft TI ovyo etc na uhakika nyimbo ya shabba ni ya kawaida sana, ila wa bongo tena wazee wa oya oya kwa sababu fulani hawampendi basi nyimbo wanaiona kali. Ila D asiwaige hawa yy aendelee na midundo yake Kutoka Africa na atatoboa mbona angelika kidjo kuchukua grammy na midundo yake ya kiafrika. Shabba wa kawaida mwisho wa siku utakuwa kama nyimbo ya davido ft meek mill. Siku ukitaka mafanikio jiamini na kuwa ww kama ww utafanikiwa na wazungu wenzetu wanataka vitu vipya sio vile wanavyovifanya wao eti ww ufanye zaidi yao never kwanza watakushangaa na watakuona mjinga
Me nadhani we ni moja kati ya Washabiki mavi. Je uliwahi kwenda iTune hata siku moja kununua ngoma za Wizkid kuonyesha unamkubali? Unabwabwaja tuu Kiroho safi bila kujua nini kinachoendelea... Eti Psqure ni zilipendwa je Wizkid anaweza Kufikia mafanikio waliyo nayo hawa jamaa hata Robo? Kwa Africa kila Nyota itang'aa kwa wakati wake.
Huna aibu MTANZANIA mzima kumponda Msanii wa Nyumbani kwako? Hii ndio sababu KUU ambayo itazidi kuupa Muziki wa Africa magharibi nafasi ya Kuvuma Ulimwenguni sababu washabiki wa Bongo Flava baadhi yao Ni ****** mfano moja wapo WEWE.