Recent content by Technology

  1. T

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa kwa undani kuhusu unenepeshaji wa n'gombe

    Asante kwa mchanganuo huu. Naomba kujua quantity gani anapatiwa kila ngombe kwa siku?
  2. T

    JamiiForums Tanzania Dawa ya kuogeshea mifugo

    Jaribu Farmabase pale ilala
  3. T

    JamiiForums Tanzania Tuweke kumbukumbu zetu sawa, huu ndo uchumi wa Magufuli aliouacha, all facts! - Sehemu ya kwanza

    Nimesoma andiko lako, nitalisoma tena baadae leo. Umenifanya nitafakari mambo mengi zaidi. Thank you
  4. T

    JamiiForums Tanzania Yajue makao makuu ya mashirika makubwa ya kijasusi duniani

    CIRG ni unit mojawapo ya FBI ambayo ni Criminal Incident Responce Group ambayo ni maalum kushughulikia issues kama abduction au watu kupotea katika mazingira tatanishi.
  5. T

    JamiiForums Tanzania Yajue makao makuu ya mashirika makubwa ya kijasusi duniani

    Infact SWAT (Special weapons and Tacticts Teams) zipo katika ofisi zote 56 kubwa za FBI na wanapokea mafunzo ya zaidi anayopata normal FBI agent while CIRG and HRT are something else
  6. T

    JamiiForums Tanzania Yajue makao makuu ya mashirika makubwa ya kijasusi duniani

    Hata FBI wana SWAT TEAM zao
  7. T

    JamiiForums Tanzania Bagamoyo: Mapya yaibuka kufuatia JWTZ kumua raia aliyefika kambi ya jeshi

    Hakukua na ulazima wa kumuua, tunahitaji kuboresha mafunzo yetu.
  8. T

    JamiiForums Tanzania Tathmini yangu fupi kuhusu Baraza Jipya la Mawaziri

    30% tu ya list yako ni muslims!!!
  9. T

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mkuu umeme ukikatika biashara zinaharibika na hata hela ya kununua cement haipatikani
  10. T

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Shida ni kubwa zaidi
  11. T

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Maeneno ya Makumbusho, Kijitonyama, Kinondoni, Mikocheni hatuna umeme toka jana usiku. Shida ni nini?
  12. T

    JamiiForums Tanzania Abdallah Said Kassongo kiongozi wa TANU Youth League Tabora 1958

    Historia iliyotukuka. Apumzike kwa amani mzee wetu
  13. T

    JamiiForums Tanzania Mauaji ya Polisi na raia Stakishari, Polisi fanyeni haya kuwapata wauaji

    Hongera sana mkuu kwa uchambuzi murua
  14. T

    JamiiForums Tanzania Nahisi mfanyakazi mwenzangu ana njama za kuniroga, naombeni ushauri wenu

    huyo sio rafiki mwema
  15. T

    JamiiForums Tanzania Je, kiitifaki Waziri mkuu wa Tanzania ni mkuu kuliko Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar?

    Kwa defination kifupi, waziri mkuu ni Rais wa Tanganyika
Back
Top Bottom