Yajue makao makuu ya mashirika makubwa ya kijasusi duniani

Hapo kwenye CIA na FBI umeingia Chaka .

CIA Pacha wake Ni NSA sio FBI


FBI wanahusika ma upelelezi wa makosa ya Jinai na mengineyo.ila sio ujasusi
Nawewe umeingia Chaka maana NSA inajumisha intelligence community service yote ya USA including CIA tusichokijua wengi ni kwamba USA peke yake inataasisi 17 zinazoshughulikia ulinzi na usalama wa USA mbapo zote hizi ziko chini ya mwamvuli mmoja ndio huo unaitwa NSA linapotokea Jambo kubwa na zito kama lile la osama hizi intell zote zinaitwa kujumuisha taarifa zao pamoja na hatimaye kushauri na kufanya maamuzi.
 
Hizo cirg na hrt ndio nini mkuu.
Infact SWAT (Special weapons and Tacticts Teams) zipo katika ofisi zote 56 kubwa za FBI na wanapokea mafunzo ya zaidi anayopata normal FBI agent while CIRG and HRT are something else
 
Hizo cirg na hrt ndio nini mkuu
Infact SWAT (Special weapons and Tacticts Teams) zipo katika ofisi zote 56 kubwa za FBI na wanapokea mafunzo ya zaidi anayopata normal FBI agent while CIRG and HRT are something else
 
Nawewe umeingia Chaka maana NSA inajumisha intelligence community service yote ya USA including CIA tusichokijua wengi ni kwamba USA peke yake inataasisi 17 zinazoshughulikia ulinzi na usalama wa USA mbapo zote hizi ziko chini ya mwamvuli mmoja ndio huo unaitwa NSA linapotokea Jambo kubwa na zito kama lile la osama hizi intell zote zinaitwa kujumuisha taarifa zao pamoja na hatimaye kushauri na kufanya maamuzi.
Na wewe pia umeingia Chaka

Intel community marekani Kuna

NSA
CIA
FBI
DEA etc.

Zote ziko department of defense under the office of director of intelligence

Chaka chaka Chaka
 
Na wewe pia umeingia Chaka

Intel community marekani Kuna

NSA
CIA
FBI
DEA etc.

Zote ziko department of defense under the office of director of intelligence

Chaka chaka Chaka
Watakuja wajuvi zaidi wataondoa utata.
 
Hapo kwenye CIA na FBI umeingia Chaka .

CIA Pacha wake Ni NSA sio FBI


FBI wanahusika ma upelelezi wa makosa ya Jinai na mengineyo.ila sio ujasusi
Shirika lenyewe la kijasusi afu unasema hawajiusishi na ujasusi? (FBI)

How??
 
Hapo kwenye CIA na FBI umeingia Chaka .

CIA Pacha wake Ni NSA sio FBI


FBI wanahusika ma upelelezi wa makosa ya Jinai na mengineyo.ila sio ujasusi
nadhani hujanisoma vizuri. hakuna mahali nimeandika CIA pacha ake ni FBI.

CIA pacha wake si NSA. NSA ni shirika linalokusanya taarifa za kiusalama kupitia kwenye mawasiliano,mitandao.
wana collect , process na ku analyze data kutoka sehemu mbali mbali. na wanafanya kwa ku monitor mawasiliano.

CIA ni more of espionage organization.
pacha wa CIA ni DIA ama defence intelligence agency.
kazi yao imefanana sana na CIA isipokuwa wao wana responsible to military zaidi.

kwa kuongezea pacha wa NSA ni GHCQ ya UK.
 
Nawewe umeingia Chaka maana NSA inajumisha intelligence community service yote ya USA including CIA tusichokijua wengi ni kwamba USA peke yake inataasisi 17 zinazoshughulikia ulinzi na usalama wa USA mbapo zote hizi ziko chini ya mwamvuli mmoja ndio huo unaitwa NSA linapotokea Jambo kubwa na zito kama lile la osama hizi intell zote zinaitwa kujumuisha taarifa zao pamoja na hatimaye kushauri na kufanya maamuzi.
nafikiri unacho refer ni department of defence. hii departement ndio ina oversee all intelligence agencies hapo america.
maarufu kama DoD.

na haya mashirika yana report kwa secretary of defence.. ambae kwa sasa nafasi hio yupo lloyd J.Austin.

NSA wao ni ku gather inteligence kupitia mawasiliano na mitandao yote.
 
CIA - Makao Makuu yapo Langley yanaitwa George Bush Centre for Inteligence kwa heshima ya George H.W. Bush aliyekuwa Mkurugenzi wa CIA kisha Makamu wa Rais chini ya Rais Ronald Reagan na baadae akawa Rais wa awamu moja.

FBI - Makao Makuu yapo Washington yanaitwa J. Edgar Hoover Building, yameitwa hivyo kwa heshima ya mwanzilishi na Mkurugenzi wa kwanza kabisa wa FBI, ambaye alihudumu kama Mkurugenzi wa FBI kwa miaka 32 mpaka kifo kilipomchukua, alitisha na akaogopwa hadi na Marais.
 
Back
Top Bottom