I support you...
In summary, ndani ya mwezi mmoja huyu Mchange ametransact kwa Tigo pesa kama ifuatavyo:
1. Recharge shs 11,750
2. Cash in shs 433,000
3. Cash out shs 113,000
4. Transfer shs 292,000
Mpaka hapo sijaona kosa lake ni nini. Labda kama mkitueleza hizo cash in zilitoka kwa nani na...
Hili jambo limekuwa likinisumbua kwa muda mrefu sana.... I am starting to suspect hii opposition tuliyo nayo kusema kweli. Tusikute ni kukosekana kwa opportunities upande mwingine ndo watu wakahamia upinzani, huku mioyo yao bado haijabadilika.
Leo hii, Mabere Marando ndo anaongoza kukataa...
Mkuu,
Ni jukumu la wanaomshutumu waje hapa na evidence kwamba anasema uongo. Not mimi. Kuhusu kutumwa na wananchi kusema hilo nimesema kama mfano, so sina haja ya kuweka data yoyote.
Anyway kuhusu shule za kata, hebu tazama hizi:
http://www.matokeo.necta.go.tz/matokeo2010/csee2010/s0979.htm...
Guys, this is politics, kama hatajiuza kwa wananchi kwa kufanya kazi basi yeye ni mpumbavu...na amechaguliwa (anyway, huyu alipita) ili akafanye kazi hii anayoifanya. Je yeye kama mbunge na kiongozi wa hiyo kamati,mnataka afanyeje??? Je mnamtaka akae kimya??? Au furaha yenu aharibu tu...
Watu humu JF kawaida kupinga kila kitu! Aliyetoa habari katupa link kama source, wewe umekuja na malaria no more, mwamvita etc etc, tupe link basi ya hizo source. Kwa alichokisema January Makamba na ile barua aliyomwandikia Ngeleja, ni uthibitisho tosha (so far) kuonyesha huyu kijana ana nia...
Unajua huku JF uzuri wenu mmekaa kupinga chochote kinachosifia serikali.....Mimi najua hii serikali imeshindwa kuendesha nchi inavyotakiwa, lakini pia kuna mafanikio madogo madogo ambayo yamepatikana kutokana na sera hizi hizi za hii serikali, wote tunajua how good on paper hizi sera zilivyo...
Wazee hii mbona kitu cha kawaida sana??? Tokea mwanzo wa vyama vingi, muungano wa upinzani ulionekana kushindikana. Upinzani mwanzoni vilikuwa vinapeana support kwenye urais na majimboni...kwamba tunamsupport rais wako, pia jimbo hili nimemweka wangu na wewe weka wako kule tusaidiane. Sasa hii...
Acha uongo ndugu yangu, tupe ushahidi....haiwezekani CCM hata siku moja imtose mgombea wake apewe mpinzani. By the way, usifikiri Selasini aliupata huo ubunge kihivi hivi tu, wananchi waliandamana from Tarakea, Useri, Mashati na Mkuu kwenyewe kulinda kura na kusimamia mpaka matokeo...
Wakubwa mimi niko against wizi wa kura, na imeniuma sana ukizingatia jimbo nililopiga kura na mbunge niliyempigia walimchakachulia matokea yake, lakini hii ishu ya watu kuwawinda watu na kuwakimbiza maeneo yao ya kuishi si sawa kabisa na wala hatutakiwi kuishabikia kwa namna yoyote ile. NIna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.