Recent content by Teamubwabwa

  1. T

    Mkuu wa majeshi Korea Kaskazini anyongwa kwa tuhuma za ufisadi

    Msisahau hapa kwetu mafisadi wanagombea urais iwe ccm, chadema na wanashabikiwa na kuaminiwa tena kwa mbwembwe kabisa. Magufuli ondoa hili tatizo Tanzania.
  2. T

    Kikwete and team, tuachieni nchi na chama salama

    Kauli za membe sio njema kwa mustakabali Wa taifa letu. Namuomba mhe JK na wenzako aakina membe mutuache ssalama. Membe lazima aonywe na ccm sio mfano mzuri kwa uongozi mahala popote pale hata kama ni haki Yake kikatiba. Magufuli ana miezi 2 na nusu tangu aanze kazi. Sasa kukosolewa huku kwa...
  3. T

    Gamboshi: Makao Makuu ya Uchawi na Wachawi yaliyopo Shinyanga, Tanzania

    Sitapasahau tulienda kukamata wahalifu cha ajabu katika watu 10 tuliokamata na kuweka kwenye karandinga, tulifika kituoni hatuna mhalifu hata mmoja.
  4. T

    Lowassa anaibadilisha Chadema au Chadema inambadilisha Lowassa?

    Chadema kushney bakia chandimu. Chezea fisadi weyeee nunua watu yote pale baki debe tupu haikosi tika.
  5. T

    CHADEMA, Lowassa apewe onyo mara moja

    CDM naamini sasa mmeanza kuuona upuuzi uliokataliwa na ccm eeeh? Basi bado upuuuzi mkubwa zaidi huo mdogo mbona subirini muda ndo jawabu la kila kitu.
  6. T

    Nimeuchukia sana Mtandao wa Urais wa CCM 2005...

    Daaaa sina LA kusema nchi ilikuwa tuipoteze kama ndo angeingia huyo mamnvi ndo ingekuwa tumekwisha aiseee.
  7. T

    Tanzania na kizazi cha wasomi wezi na wavivu!

    Neo kizazi kinachomtaka Lowasa awe rais ili kipige dili vizuri
  8. T

    Baraza jipya la Mawaziri: Tanzania Mpya tuliyoitegemea imeanza kuyeyuka..!

    Muhongo ni zaidi ya akili za matope jf mnaokaaa na kumkashifu. Kwa upumbavu wenu mnaona heri ya lowasa kuliko prof muhongo. Mwacheni awatumikie watanzania kwa faida ya taifa. Ni mzalendo na mkweli na mwenye tija. Endeleeni na mafisadi wenu mnaowapigania wawe rais wetu ukweli hawatakuwa rais
  9. T

    Waziri Mkuu Majaliwa aitaka TAMISEMI kujieleza kwanini mabasi yaendayo kasi hayajaanza kufanya kazi

    Too low for consumptions. Yeye si ndiye alikuwa msimamizi Wa tamisemi? Ajipe taarifa.
  10. T

    Mbunge Elibariki Kingu awasilisha barua kwa Katibu wa Bunge kuhusu posho "Sitting Allowance"

    Haaminiki sana kingu kwqni hata u DC aliondolewa kwani si mwaminifu. Anatafuta uwaziri. Ingawa move yake ni jambo Jema lakini naomba uwaziri asiaminiwe.
  11. T

    Manispaa ya Kinondoni yabomoa nyumba zilizojengwa kiholela

    Enyi wamachinga mmejiloga wenyewe mnavamia miji na kujenga bila kufuata taratibu sasa ngoja mbomolewe mabanda yenu ili Lowasa awatafutie maeneo mengine awajengee...
  12. T

    Naomba kujua, wapiga deal CCM wameondoka wote?

    Mkuu bado wapo hawajaisha wanasikilizia kwanza.
  13. T

    Naomba kujua, wapiga deal CCM wameondoka wote?

    Mkuu bado wapo ila watatoka tu bado wanasikilizia kwanza.
  14. T

    Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, Sumaye, Lowassa na hekaya za abunuwasi

    Wamekuwepo CCM miaka yote ya maisha yao. Wameshiriki kuijenga ngome na himaya kuu ya CCM. Leo 2015 wanatoka CCM kwenda kuiangusha himaya waliyoijenga miaka zaidi ya 50. Swali Je, walijisahau au walidhani wao ndio nguzo kuu ya ngome ya himaya ya CCM hivyo wakitoka itaanguka? Nifahamisheni...
  15. T

    Wabunge wa muungano waliochaguliwa upande wa Zanzibar nao watahudhuria bungeni?

    Kama waliweZa kumtosa Slaa aliyekijenga chama kwa pesa ya Lowasa sembuse cuf Zanzibar?
Back
Top Bottom