Ndugu yangu Lowassa ni vema ukajitathimini sana na kujitambua. Usifikiri watanzania wote ni mbumbumbu na wapumbavu la hasha.
Nakusihi uachane na suala la urais na ufikirie shughuli nyingine ya kuzalisha mali, uchaguzi umekwisha.
Pia tambua kuwa si lazima wewe tu ndio uwe rais wetu la hasha.
Ratiba ya magufuli katika kuijenga nchi mpya tanzania anaanza kama ifuatavyo: -
1. Kuwafungulia kesi za uhujumu uchumi mafisadi wote bila kujali nafasi walizowahi kutumikia serikalini
2. Kufufua viwanda vyote vilivyokufa na mashirika ya umma yaliyobinafisishwa na hayafanyi kazi vyema, kuyaunda...
:angry:Baada ya kutangazwa kwa J. P. Magufuli kuwa rais wa 5 wa Tanzania leo tarehe 29.10.2015, ndio umekuwa mwisho wa ule umoja wa mashaka wa UKAWA. Kwani umoja huu ulijengwa kwenye kuaminishana kuwa fulani akiwa rais basi na sisi tumeula na kupiga dili za kufa mtu.
Sasa wataanza kutimuana...
Baada ya kutangazwa kwa j.p.magufuli kuwa rais wa 5 wa tanzania leo tarehe 29.10.2015, ndio umekuwa mwisho wa ule umoja wa mashaka wa ukiwa. Kwani umoja huu ulijengwa kwenye kuaminishana kuwa fulani akiwa rais basi na sisi tumeula na kupiga dili za kufa mtu. Sasa wataanza kutimuana na kila mmoja...
Kwa bahati mbaya zaidi ujanja ujanja wake bado anataka kulazimisha tume isiendelee kutangaza majimbo yaliyobaki na mshindi wa kiti cha urais. mbona matokeo ya ubunge hayapingi?
He is nutty.
NI vema ieleweke kuwa Lowasa amepata waungaji mkono toka Ukawa na wanaCCM maslahi na wale wasiojifaham kabisa na kutokuwa na upande wowote wao ni fuata upepo na tia maji tia maji. Walioipigia CCM kura ni watu wanaojitambua wakiwemo wana CCM. Ki ukweli Lowasa ni vema atambue kuwa hakubaliki na...
Matokeo yaliyopo sasa yanaonyesha wazi kuwa CCM ingemsimamisha Lowasa ingepigwa mwereka mbaya sana.
Hongera CCM kwa kuliona hili mapema na pia hongera sana mwana wa kitanzania na mzalendo John Pombe Magufuli.
Nauliza UKAWA wanieleweshe bado sijamuelewa mama huyu kampeni zake nchi nzima ni kwa faida ya Taifa au familia yake?
Na gharama zake za kampeni zinatokana na chama au familia?
Mjulisheni tunatafuta Rais wa nchi na sio familia ili akawatumikie Watanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.