lowassa alikuwa maarufu ndani ya ccm! Basi!
nani aende kupigwa virungu huko
Nafikiri ni wakati wa house arrest kwa hawa watu wanaotaka kufanya uhaini!
Demokrasia imechukua mkondo wake, nini madai yenu ya msingi?
Kwamba Zanzibar uchaguzi usirudiwe au mmeibiwa kura?
Hadi sasa hamna ushahidi wowote wa chochote!
Lubuva anajua kuwa kura za NEC Zanzibar ni halali, na kwa bahati mbaya Zanzibar haiendeshi muungano na bara haiwezi kuingilia serikali ya mapinduzi!
Mgogoro wa Zanzibar kuingiliwa na kikwete ni mgogoro mkubwa sana wa kikatiba kuliko huo wa NEC na ZEC! Rumours huwa haziongozi nchi, kama Lubuva akifuta matokeo then uchunguzi ukionesha kuwa mwenyekiti wa ZEC alirubuniwa na smz lubuva yeye anasema nini? Acheni unyumbu fununu haziwezi kutengeu shughuli halali za JMT!
Kaskazini vs Tanzania we unafikiri nani atashinda?
Wananchi gani.Wananchi tumemchagua Magufuli.Acheni siasa za MAKUNDI