CCM ingemsimamisha Lowassa ingeanguka vibaya

CCM ingemsimamisha Lowassa ingeanguka vibaya

Na angesimama mgombea mwingine wa ukawa mbali na lowasa, basi ukawa usingetoboa 30%. Nawaambia asilimia atakazopata lowasa ktk upinzani, hatakuja mtu mwingine kuzifikia.
 
NI vema ieleweke kuwa Lowasa amepata waungaji mkono toka Ukawa na wanaCCM maslahi na wale wasiojifaham kabisa na kutokuwa na upande wowote wao ni fuata upepo na tia maji tia maji. Walioipigia CCM kura ni watu wanaojitambua wakiwemo wana CCM. Ki ukweli Lowasa ni vema atambue kuwa hakubaliki na watanzania. Asijidanganye na wahudhuriaji wa mikutano wasiowapiga kura.
 
NI vema ieleweke kuwa Lowasa amepata waungaji mkono toka Ukawa na wanaCCM maslahi na wale wasiojifaham kabisa na kutokuwa na upande wowote wao ni fuata upepo na tia maji tia maji. Walioipigia CCM kura ni watu wanaojitambua wakiwemo wana CCM. Ki ukweli Lowasa ni vema atambue kuwa hakubaliki na watanzania. Asijidanganye na wahudhuriaji wa mikutano wasiowapiga kura.

Usipotoke. Huyo slaa anaekubalika mbona 2010 alishndwa hata kufika 28% katika kura za urais. Sio rahis watu kumpa urais mtu wa upinzani ambaye hajawah shka nyazifa yoyote kubwa. Na ndomana angalau lowasa anacheza ktk 40%. Mungu atusaidie tufike 2020 halaf tuonE asimamishwe mgombea wa upinzani asiyakuwa na ruputation ya kushka nafas kubwa serikalini, kama atafika hata 25%
 
CCM iliona mbali sana kumuengua huyu jamaa. Kujaza watu kwenye mikutano ni kwamba watu walikua hawamjui huyo anayesemwa ni fisadi papa anafananaje? Baada ya kumuona sura wanarudi kumpigia kura magufuli
 
kama ZEC NA NEC wapo ccm hata wangemsimamisha wema wangeshinda tu
 
Hata mngemsimamisha WEMA SEPETU.. mngeshinda tu!!
 
kama ZEC NA NEC wapo ccm hata wangemsimamisha wema wangeshinda tu

ha ha ha haa... mkuu mawazo yetu yamefanan!!! Tuseme hata wangemsimamisha Vicent Kigosi, wangeshinda.
 
Kwani amekatwa tena???Duuh jk kweli Mafia na mda sio mrefu dili la mamvi litakuwa limebuma maskini former PM.
 
Nyie TEAM - CCM mnapotoa hoja kwenye mitandao, kuweni scientific badala ya kuleta porojo. Chadema wamemsimamisha Lowasa na hadi leo asubuhi wanazo asilimia 40% ya kura zote. Huko nyuma Chadema hawajawahi kuzidi asilimia 27%. Chadema tayari wameongeza idadi ya wabunge wakichaguliwa kutoka 23 hadi 38 (zaidi ya 65%) na ongezeko la wabunge wa UKAWA hadi sasa ni zaidi ya maradufu! Kwa upande wa madiwani ongezeko la UKAWA ni mafuriko.

Kwa ujumla ujio wa Lowasa kwenye upinzani umeleta changamoto lakini CCM haijawa salama zaidi. Mafanikio ya CCM yametokana na matumizi ya pesa na raslimali nyingi mno kuliko wakati wowote katika historia. Upande wa Magufuli tumshukuru Lowasa kwa uasi alofanya vinginevyo CCM kwa historia wangemsimamsha mgombea ambaye asingeweza kusimamia sera ya UKAWA ya mabadiriko kama ilivyo kwa Magufuli.
 
Ila chadema wanapaswa kumshukuru huyu mtu kwa kuwaongezea wafuasi na pia kuipa nguvu chadema. Wakijipanga vizuri next time watakuwa kwenye position nzuri zaidi
 
Ccm hata wakikusimamisha wewe unakua rais...no matter what,
 
Ni kweli CCM ingemsimamisha LOWASA na UKAWA ikamsimamisha DR. SLAA basi ushindi ulikuwa unaonekana asubuhi sana.
Sababu ni hizi hapa;-
1.KASHIFA YA UFISADI, angeshindwa kujieleza vizuri na kueleweka.

2.WATANZANIA KUICHOKA CCM. Hii ndio ingemuua kabisa.

3.KUSHINDWA KUHUTUBIA KWA MUDA MREFU.

4. USALAMA WA AFYA YAKE.
 
Ni bora UKIWA wangemsimamisha Kingwendu kuliko Fisadi Lowasa
 
Back
Top Bottom