Recent content by Teamanaconda

  1. T

    Chorus za HipHop zenye ujumbe na kali za muda wote

    Hiki ni kijiko nilichokiona baada kula kwa mkono,ndoms naiona baada kufanya ngono. WAZO LA LEO.
  2. T

    Njia mpya ya wizi tuwe makini, epuka kutapeliwa

    Huyu wa Mtaani hapa yeye alipigiwa simu akaambiwa namba yako nimepewa na Mwl fulani wa Shule fulani,ambaye huyu boda wanafahamiana,basi jamaa akamwambia nichukullie utumbo kilo moja niletee,jamaa akampigia tena kuwa namba nakupa itumie 1,600,000 mimi nipo na mafundi hapa home ukifika nakupa,yule...
  3. T

    Njia mpya ya wizi tuwe makini, epuka kutapeliwa

    Kuna boda mmoja kapigwa 1,200,00 hivyo hivyo,ndugu zake ndio wanailipa kidogo kwa jamaa wa huduma za miamala hapa Mtaani,yeye aliagizwa utumbo.
  4. T

    Nani alikuwa mpiga solo mkali kwenye muziki wa congo kati ya Hawa?

    Huyo Remy Sahlomon kuna ngoma moja ya loketo kapiga bass balaa
  5. T

    KUMBUKIZI: Abajalo Vs Sparrow, Van Dame anachukua maamuzi ya kijasiri, Louis Mfede anausimika Ufalme wake, Kally Ongala anaamua Mechi

    Kuna jamaa mmoja nae alikuwa anaitwa Nyakashi nae alikuwa mbabe mbabe kweli,sijui yupo wapi siku hizi?
  6. T

    Wakoloni hawatamwacha Ruto atawale.

    Mi nampendea Ruto kitu kimoja tu,anakwambia kukopa sio vizuri alafu yeye anaenda kuchukua mkopo huko huko kwa Mabeberu. Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
  7. T

    Yule bibi wa Ngende aliyekuwa akigawa vyeo na utajiri amekufa

    Oya huyo Mangi mbona kama namjua pale Mwenge. Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
  8. T

    Kumi bora yangu ya wakati wote ya nyimbo kali za muziki wa Congo

    Lavie lavie- lucian Bokilo Pantalon mariba - Jean Baron Koudia ndambou - Jean Baron Malou - Loketo Group Embargo - loketo Group Mamie lolo - loketo Group Grand effets - alan kounkou Douce Isabelle - Aurlus Mabele Soukous - lutchiana Robin Pretty - soukous Stars Sent from my SM-A305F using...
  9. T

    Wachuja Nafaka Na Albamu Yao Kali Kuwahi Kutokea Tanzania

    Konda kamwambia akachimbe dawa Yeye kaenda kufyatua matofali Anakwenda pale mohamed Hussein Goooooooooool Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
  10. T

    Hospitali gani nzuri kwa kliniki ya wajawazito na gharama zake zipoje?

    Kuna zahanati moja ipo Madale flamingo pale ya Serikali,wife alianza kliniki pale na akajifungulia pale,tena bure kabsa. Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
  11. T

    Harry Bellafonte kafariki toka 25/4/2023 , wakuu tutamkumbuka vipi?

    Dah!nimekuwa mpz sana wa huu muziki kwa kuwasikiliza hawa manguli,Arrow,Winston Soso,Baron. Ila huyu Arrow anabalaa sana mzee wa easy dance,Colombian rock,Hot hot na Soca rhumba. Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
  12. T

    Adhabu za wanajeshi

    Man to man kuna watu wapo vizuri kuliko hawa wanajeshi, Kisa kingine kuna mshikaji anaendesha bajaj hapa maeneo ya Mwenge,basi kuna siku anavuka tu barabara bila bajaji kuna gari ya wanajeshi walikuwa wawili wakampelekea mshikaji anaevuka kwa miguu zima zima,sasa yule mshikaji kuona anataka...
  13. T

    Neno mswahili wewe unalitafsiri vipi?

    Mswahili ni mtu aliepitiwa na Waarabu. Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
  14. T

    Uchumi wa Frame Tanzania

    Kuna muwekezaji wamempa lile eneo kahaidi atajenga msikiti mzuri pamoja na fremu za biashara,sasa kaanza na fremu kwanza ili apate pesa ndio awajengee msikiti baadae, Yani unavunja kwanza nyumba ya ibada alafu unajenga kwanza fremu za biashara nyumba ya utajenga baadae.moja kati ya mkataba wa...
  15. T

    Uchumi wa Frame Tanzania

    Hapo msikiti wa Mwenge kumejaa fremu,alafu hizo za chini kodi mil 3 kwa mwezi,na msikiti wameuvunja. Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom