Recent content by Tchugga

  1. T

    Arusha: Yaliyojiri kutoka mahakamani Arusha, dhamana ya Mbunge Lema yashindikana

    ..Nadhani angetakiwa aachwe kidogo huko amezoea kujifanya hip hop sana
  2. T

    Simba fukuza kocha haraka sana

    ..utakua umelewa..buzaa
  3. T

    Magazeti yaipa kisogo ndege ya Rais Magufuli

    ....Nimekaa nikatafakari kuhusu tabia ya Watanzania tulio wengi tunalalamika sana tena kupita kiasi. Nadhani tathmini ikifanyika inawezekana Tanzania ikawa ya kwanza kwa kuwa na kundi kubwa la watu wanaolalamika kuliko Nchi yeyote duniani, yes nakubali kuwa tuna matatizo tena mengi tu ambayo...
  4. T

    Magazeti yaipa kisogo ndege ya Rais Magufuli

    ...i sweat to God tuna matatizo..kwani Ndege kununuliwa tatizo liko wapi. What do we want? Juzi tulikua tunataka ndege, leo haifai tena tunataka treni, treni ikija tutataka mabasi. Ee Mwenyenzi MUNGU usituhesabie dhambi sie watanzAnia. Tuna tatizo la kisaikolojia.
  5. T

    Arusha halisi ilivyo na watu wake

    Umekurupuka kujibu mkuu...ameandika arusha/karibu na arusha....wewe wa mkoa gani hata kusoma uelewi.
  6. T

    Pamoja na harakati za UKAWA kutaka kumchafua Rais, hatimaye Magufuli aibuka shujaa

    ...mstari wa kufanya maisha kuwa magumu kwa watu waliodhani anawatetea...hakuna dhahabu hapo...he is too speed and not wise.
  7. T

    Pamoja na harakati za UKAWA kutaka kumchafua Rais, hatimaye Magufuli aibuka shujaa

    SHUJAA ALIYEPANDISHA SUKARI KUTOKA 1800 MPAKA 3500....
  8. T

    Josephine Mshumbushi: CHADEMA ni mali ya Mtei, kimejengwa kwa misingi ya unafiki na nidhamu ya woga

    Umbea unafiki...mwanamke kwa hasili aliumbwa kusaliti na maneno ya kinfki....sometimes when we travel in a bus we dont have a vusion of what driver has but we belief in him and we trust him becUse we know where we a heading...
  9. T

    Mkuu wa chuo UDOM, Makamu wa Chuo nashauri wajiuzulu kuokoa hadhi ya Chuo

    Unadhani Mkuu wa chuo atajiuzulu kweli...Mkuu hapo ni BWM
  10. T

    Utamchukia Zitto Kabwe lakini akiongea anamwaga sumu tupu

    Tukiletewa mashine ya kupima akili zutu wengi tutalazwa hosoitali kwa matibabu....tuacha hoja tunaingia chaka na mihemko kama aliyoeleza mleta mada(Dodald Trump kind)
  11. T

    Mbunge wa CCM Viti Maalumu ataka kulia akipinga Bunge kuonyeshwa "Live"

    Natsamani kulia natsamani kuliaa.... Yaani mnanitsia aibu.... Baadae anauliza baby uliniona nilivyokuà mkali..... Mwaka huu tutaona
  12. T

    Watanzania wengi hasa vijana wanataka bora mabadiliko

    ....nimetafakari miaka Zaidi ya hamsini....itakua rasi kuanya tena mabadiliko 2020 baada ya kuwa ba katiba tunayoitaka sisi wananchi.....whether mabadiko yatakuwa mabaya au la. Faida ys mabadilko kwangu ni Katiba mpya end of story.
  13. T

    Kama Lowassa ni fisadi Kikwete ni nani?

    Nampa kura yangu fisadi mwaka huu ....pipooozzzzzzz
  14. T

    Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

    Kumpiga chura teke ni kumuongezea Hatua...to late to hate him..
  15. T

    Ni kijana gani wa kupigiwa mfano siasa za Tanzania?

    Kuongea hovyooooo sio ujasiri Bali kutojali utatathminiwa vipi....
Back
Top Bottom