Kwa hiyo mkuu wewe ushahidi wako ni hii quote. Nilitegemea unashusha nondo za maana watu tuelimike unakuja na just a quote ambayo huna hata udhibitisho nayo
Niliwahi kusikia kuwa moja ya masharti ni kuwa Mmoja wa wakurugenzi/wamiliki wa kampuni anatakiwa awe amewahi kuwa askari Polisi, JWTZ, au taasisi nyingine ya usalama wa taifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.