Mwambie muhudumu kila tukio arekodi kwenye kitabu afu mzoeshe kumshitukiza na mwambie kila tukio utakalolikuta halijarekodiwa hata la fasta litamfukuzisha kazi
Kitu ambacho humfanya mtu aonekane ana akili ni muda! (Dakika moja) Tsh M30 huingiza faida ya Tsh50 kwa mfano na Nyumba ya M30 huingiza faida ya Tsh3... Sasa hapa ndipo wanauchumi wanatushauri tuimarishe mitaji kwanza ndipo tujenge. Hivyo kunamisamiati miwili yani kunawajenzi na wazikaji
Wazoefu mtujuze naweza pata tamthilia hizi kwasababu zingine zinagusa maisha yetu kabisa, kama ile ya walima uyoga... Zinafurahisha sana. Tusaidieni tutawalipeni jamani
Ubongo wa binadamu ni computer ambayo binadamu hatokuja itengeneza. Itakachopandikizwa na kuwekewa mkazo (reinforcement) inaweza Fanya maajabu. Tatizo kila binadamu anakazia akipendacho wengine mpira, wengine music, masomo, pombe, nk. Mtu, Familia, jamii au Taifa litakalo jikita kwenye uchumi...
Kabla hatujabumba kitu Nadhalia kwanza hufikiliwa kisha tunaingia maabara kutoka na kitu... Sasa hapa vijana tunawapa nadhalia ili wasipoteze muda mwingi kutafuta njia na wakati mwingine hata njia isipatikane uzee ukamkuta
Mimi siwezi kujisemea ntaonekana najigamba kwa ukwasi nilionao na...
Kwanza nikukumbushe hakuna kiwango cha Mali ambacho mtu kinaweza kumkidhi akipatwa na mapito! Kuhusu yadunia hayo tuyaweke kando hapa tunashauliana kwenye hali ya kawaida! Yani tofauti yamawazo ya matajiri na masikini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.