Recent content by taulooo

  1. taulooo

    Dakika chache kabla ndege haijaanguka unadhani abiria huwa katika hali gani?

    Futi 4000 sio sawa na KM 4. Kasome vizuri hesabu
  2. taulooo

    The reason to why I didn't marry you!

    stori nzuri sana na inafundisha sana. inatia hamasa sana.
  3. taulooo

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    hahahahaha sawa mkuu
  4. taulooo

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    sikumpata kimasihara bro, nlipambana nae sana
  5. taulooo

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    thank you bro
  6. taulooo

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    huu uzi ulinivunjia mahusiano yangu, sitakuja kusahau, nilitoa ushuhuda mwaka mmoja uliopita, nikasimulia visa vyangu vinne nilivokula tunda kimasihara. siku ya siku kulikua na ubatizo kwa jirani, baada ya sherehe za ubatizo za nyumban kumalizika, yule jiran akaomba nimsindikize kuwapeleka...
  7. taulooo

    Sijawahi kukutana na Maghalah R

    mmmh! em njoo PM ntumie namba yako
  8. taulooo

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    zile kit za kupimia HIV hua zinasomwa ndani ya muda tu, yaani within 15-20 min. ukiendelee kusibr hua vinabadilika na kuleta positive japo sio vyote. pia zingatia expire date ya kipimo chako ila as long as ndani ya dk 20 ilikua negative, then have peace, nothing much to worry
  9. taulooo

    Majibu ya mke wangu haya hapa

    App zipi zinaweza kutrack sim kwa uhakika
  10. taulooo

    Majibu ya mke wangu haya hapa

    tusaidie hapa, unajihakikishiaje kua hupigiwi???
  11. taulooo

    Ushauri: Nina date na wasichana watatu wazuri currently, nataka niache wawili abaki mmoja

    Hellow brethren JF member. Naamini mpo salama mkiendelea kufuatilia kwa ukaribu uchaguzi wa marekank pamoja na maandalizi ya kumuapisha Rais wetu mteule, Dr. JPM hapo kesho. Niende moja kwa moja kwenye topic yangu leo. Nina wasichana watatu warembo na wazuri ambao nipo nao kwenye mahusiano kwa...
Back
Top Bottom