Mimi kwangu pia ilikuwa tofauti nilikaa kwa dingi mkubwa nikafukuzwa lakini nilipohamia kwa watu baki nilisoma kula na kuvaa vizur na hawakunibagua na mpaka picha yangu ya graduation wameweka sebuleni kwao much respect
Wengi mnaongea kisiasa ila sisi tuliokwenye field tunajua umuhimu wa vyuo vyote viwili na lengo la kuvianzisha havijaanzishwa kwa maana hiyo ya ushindanishwaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.