Mtoa hoja hujaonyesha unataka kupambanisha DIT na UDSM kwenye eneo gani maana kwa kuanzia tu kwenye ithibaki zao ni kuwa UD ni knowledge based trainings while DIT is competence based trainings kwa hiyo tayari kwenye utendaji wao wanatofautiana kwenye wanafunzi waliomaliza japo kwa sasa DIT wanatoa mpaka master kama ilivyo kwa COET ambacho ni college ya UDSM.Kwa hiyo hata project zao zinaweza kuwa tofauti sana kama ndy unataka kuziangalia maana tayari DIT kwa huduma za kijamii wamefanya mengi zaidi kuliko COET kutokana na wao ni Knowledge based na kwa upande wa wa paper publication COET wakufunzi wanazo paper nyingi zaidi ambazo labda inawezekana DIT wamezitumia for implimentation kwa hiyo hamna sehemu unaweza kuzilinganisha pamoja unless useme wewe mtoa muda unataka kulenga wapi ili wadau wakupe mfano hapo juu kuna mdau amesema DIT wanafanya project za Trafiic lights na wamefanya maeneo mengi Jiji la dar Es salaama na kule Zanzibar,wizi wa mafuta ya kwenye transfomer Tanesco,various packing machine,Incubators machines,mizinga ya nyuki ya kielectronic,kubadili petrol engine kwenda GAS na vingine vingi ambavyo vinamlenga mwananchi wa kawaidas unaweze kujiridhisha kwenye tovuti yao Ila kwa COEt wao wapo kwenye publication