Recent content by tatiana.

  1. T

    Natafuta ofisi zitakazosaidia kupata scholarship

    PS TANZANIA Magomeni Mapipa : Mtaa wa Dossy, Nyumba No 41 Mobile: +255 653 334 383, +255 788 545 614, +255 755 953 658 EMAIL: psychologicalsupport@hotmail.com
  2. T

    Natafuta sponsership ya masterz.

    piga no hiyo 0653 33 43 53 utapew msaada wa nini cha kufanya
  3. T

    Psychological support Centre..Now open

    good to know...andika kiswahili nasisi tusiojua kidhungu tuelewe
  4. T

    Umekua ukitafuta kazi, au scholaship bila mafanikio???

    Pole sana...nimerudii...nilikua bize kidogo ndugu yangu.
  5. T

    Umekua ukitafuta kazi, au scholaship bila mafanikio???

    kwanza kabisa poleni kwa kukimbia kwa muda...nilikua bize kidogo sikuweza kupata muda wa kuja jamvini. nashindwa hata nianzie wapi. in short, kwa wale wanaouliza kuhusu scholarship naweza kuwasaidia but information ni nyingi mno.. kikubwa inapaswa nijue elimu yako, unachotaka kusoma, na wapi...
  6. T

    Umekua ukitafuta kazi, au scholaship bila mafanikio???

    Kuna watu wamekua wakitafuta kazi kwa muda mrefu bila mafanikio. Wengine wanaomba scholarship miaka nenda rudi hawapati. Watu hao yawezekana wana elimu na uwezo mzuri ila tu kuna mambo yanasababisha washindwe kupata kazi. Mambo hayo yaweza kua nje ya uwezo wao lakini pia yaweza kua ni kwa...
  7. T

    Baba Yangu Amebaka Housegirl-Mama Anataka Kuondoka!

    sorry am late i have to log out. piga simu number 0788545614 kwa msaada hasa kwa huyo binti na familia kwa ujumla
  8. T

    Secretary anahitajika.

    Eneo ni Daresalamu ofisi ipo sinza Palestina
  9. T

    Secretary anahitajika.

    Natafuta secretary, awe na elimu kuanzia kidato cha nne, aweze kuongea na kuandika vizuri lugha ya kiingereza, awe na social and attending skills nzuri.aweze kutumia computa, specifically, microsoft word, power point na excel. aliyetayari, au mwenye ndugu yake mwambie atume CV yake. NOTE...
  10. T

    tatizo la kutojisikia kula.

    wasiliana na psychologicalsupport@hotmail.com watakusaidia
  11. T

    Ni kitu gani hutufanya tuwe na mpenzi zaidi ya mmoja?

    Pole sana kwa tatizo lako. watanzania tumekua tukichukulia kila kitu kua ni simpo na mtu anaamua kufanya na anaweza kuacha. in fact kuna mambo ambayo ni more psychological lakini watu wanaona mtu anafanya makusudi. mambo hayo ni kama uhuni uliokithiri, kukojoa kitandani, kunywa pombe au kuvuta...
  12. T

    Kumpoteza mtu unayempenda!!

    1. Find someone you trust to talk about how the death is affecting you. Don't keep your feelings to yourself and increase the stress you are already under. 2. Be willing to listen and be open to others who have experienced similar losses and how they have dealt with them. Choose those ideas that...
  13. T

    Uzuri wa mwanamke upo wapi? Ni upi?

    4 me, black is beauty but white is attractive
Back
Top Bottom