Mm nachukia dini, ingawa nilikuwa na dini sasa Sina dini, tofauti yangu na yako ni moja kwamba Mm naamini Mungu sema sifikiri kama uwepo wa dini ni mpango wa Mungu
Wasalam wanajamvi,kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta mafuta makali kwa ajili ya kusafishia madumu yaliyokuwa yamewekwa gundu anayefahamu anijuze mahali napo weza ya nunua
Wasalam wandugu nahitaji kufahamu sehemu nayoweza pata Gazebo au tents za aina hii katika picha na bei zake zinacheza kwa shingapi pia kama kuna maelezo ya ziada kuzihusu itapendeza zaid I ikwapo durability
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.