Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 25,092
- 27,181
Wakuu, mchwa wamevamia sehemu ya dari la geto langu ambapo upande huo sikutumia mbao ambazo ni treated. Naombeni mnipe ushauri nitumie mbinu gani waweze kuangamia. kama kuna dawa ya sumu ya kuwaua naombeni mnitajie jina lake na inapatikana maduka gani ukiwa jijini Dar.
Natanguliza shukrani zangu
Natanguliza shukrani zangu