"Ratiba za Kufilisika (Time & Energy Misallocation):Muda ndiyo mtaji pekee ambao Mungu aligawa sawa. Lakini angalia ratiba ya mwafrika. Jumatatu hadi Ijumaa yuko ofisini akiteseka."
unachokikakataa, unakitumia kama reference kwenye hoja yako!
Pathetic !
Huu mkeka una odds 49.
Uchukue kama ulivyo gawa kwa Odds 7 ,saba utapata mikeka 7 ya odds 7 ,saba...
Stake mmojawapo tu wa odds 7.
Utanishukuru baadae!
Sheria kandamizi ya PAYE inalazimisha mtu yeyote anaepata mshahara kuanzia 540,000 akatwe 30% ya kodi...ni 30% ya ile pesa inayovuka baada ya kima cha chini...sio 540000 yote inayokatwa...
Kama kima chako cha chini cha mshahara 350,000 basi inayokatwa hiyo 30% ni ile inayozidi yaani 190,000...
Unakitia nuksi kizazi chako! Kiroho.
Siku utakapooa na kuanza kutafuta watoto...utajua kuwa kinachofanyika kwenye ulimwengu wa macho na nyama...kina athari gani kwenye ulimwengu wa roho!.
Siku mkija kugundua ya kuwa mafao yenu NSSF N.K Ndiyo yanayotumika kuendesha serikali...mtakuwa mmeshachelewa...
Serikali iliamua kuinganisha hii mifuko kwa sababu hii mahsusi kabisa...
Zama zilishabadilika, ishi,fanya mambo yako yote kwa asilimia 90 ya mshahara unaoupata....hiyo asilimia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.