Recent content by TATACHACHA

  1. TATACHACHA

    Dini Ndiyo 'Software' (KIRUSI) Namba Moja InayoProgram Waafrika Kuwa Masikini Wa Kutupwa Kizazi Hadi Kizazi.

    "Ratiba za Kufilisika (Time & Energy Misallocation):Muda ndiyo mtaji pekee ambao Mungu aligawa sawa. Lakini angalia ratiba ya mwafrika. Jumatatu hadi Ijumaa yuko ofisini akiteseka." unachokikakataa, unakitumia kama reference kwenye hoja yako! Pathetic !
  2. TATACHACHA

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Anaeshughulikiwa ni mwingine, miguno unatoa wewe!
  3. TATACHACHA

    Ninatafuta mwanaume mmoja aliyejaa upendo na ukarimu kutoka kwa Mungu, atakayekubali kuwa kaka yangu

    Siku hizi wanaume Tunatongozwa kimaster sana! Na wanawake! Ukijichanganya tu, umejaa kwenye mfumo wake!
  4. TATACHACHA

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Anaetakiwa kufa tuchinje, ndie anaetangaza vifo vya wenzake! Kweli dunia, haina huruma.
  5. TATACHACHA

    Serikali yapiga marufuku kutumia CCTV Camera bila usajili. Je, ni kuwalinda wasiojulikana?

    Huu ukuumah sijui utaisha lini! Kutawaliwa na demu ni janga!
  6. TATACHACHA

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huu mkeka una odds 49. Uchukue kama ulivyo gawa kwa Odds 7 ,saba utapata mikeka 7 ya odds 7 ,saba... Stake mmojawapo tu wa odds 7. Utanishukuru baadae!
  7. TATACHACHA

    Ombi maalumu: Tafadhali mwenye mawasiliano na Mjumbe yoyote aliyeteuliwa na Rais kupitia Upya misururu ya Kodi TRA anifikishie ujumbe huu muhimu

    Sheria kandamizi ya PAYE inalazimisha mtu yeyote anaepata mshahara kuanzia 540,000 akatwe 30% ya kodi...ni 30% ya ile pesa inayovuka baada ya kima cha chini...sio 540000 yote inayokatwa... Kama kima chako cha chini cha mshahara 350,000 basi inayokatwa hiyo 30% ni ile inayozidi yaani 190,000...
  8. TATACHACHA

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    149B5B74 Betway C77713 SportyBet.
  9. TATACHACHA

    Hii ni kwa Wanaume ambao hawajaoa

    Kipi kigeni?! Kipi usicho kijua?!, kipi ambacho hujaona katika mwili wa mwanaume?!
  10. TATACHACHA

    Kabendera, unakoseaje kwenye kitabu mwaka aliofariki Sokoine, tena mara mbili kwa mpigo?

    Hivi yule jamaa angekuwa hai?... sio hai kwa mbowe!..hichi kitabu kingetoka!?
  11. TATACHACHA

    USHAURI: Bado sijaoa, nimeasili watoto wawili kutoka kituo cha kulelea Watoto Yatima bila kutarajia napata changamoto kubwa ya maneno kutoka kwa ndugu

    Unakitia nuksi kizazi chako! Kiroho. Siku utakapooa na kuanza kutafuta watoto...utajua kuwa kinachofanyika kwenye ulimwengu wa macho na nyama...kina athari gani kwenye ulimwengu wa roho!.
  12. TATACHACHA

    Lissu anavimbishwa mno Kichwa na Keybord Worrior

    Mnatapatapa kama maharage jikoni.... Jan 21, itabadilisha kabisa historia ya siasa za upinzani nchi hii... Chadema inajifia kifo kibaya mno!
  13. TATACHACHA

    Fahamu kuhusu Fao la Kukosa Ajira Tanzania (Unemployment Benefit)

    Siku mkija kugundua ya kuwa mafao yenu NSSF N.K Ndiyo yanayotumika kuendesha serikali...mtakuwa mmeshachelewa... Serikali iliamua kuinganisha hii mifuko kwa sababu hii mahsusi kabisa... Zama zilishabadilika, ishi,fanya mambo yako yote kwa asilimia 90 ya mshahara unaoupata....hiyo asilimia...
Back
Top Bottom