Recent content by TATACHACHA

  1. TATACHACHA

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Binti wa zamani

    Umeanza Kupenda mama zako!... kizazi cha laana hiki!
  2. TATACHACHA

    JamiiForums Tanzania Mnyika afafanua tuhuma za Heche na matumizi ya fedha za ToneTone

    La Lamamaco@you.ccm
  3. TATACHACHA

    JamiiForums Tanzania Nilipanda basi la usiku kulekea Bukoba, nikalala mapajani kwa mkaka, nilienjoy sana

    Stori haijaisha hii!... malizia story...hakuna watoto humu... maana naona kabisa... mazungumzo baada ya habari yanatabirika hapa
  4. TATACHACHA

    JamiiForums Tanzania Mnyika afafanua tuhuma za Heche na matumizi ya fedha za ToneTone

    Ikimpendeza mnyika afungue akaunti rasmi ya chama humu, na UZI MAALUM WA TOTETONE HUMU MUDA HUU, UZI UWE ENDELEVU, TUCHANGIE TENA KWA KASI! MUDA HUU HUU, ILI CCM WAZIDI KUUMIA! Kila plan ya CCM kufarakanisha CHADEMA(wenye nchi) ITAFELI TU!
  5. TATACHACHA

    JamiiForums Tanzania Wanawake jifunzeni kutunza siri, mnatuharibia sana. Saahizi ndoa yangu ipo matatani kuvunjika

    "Hii ndio shida ya kutembea na madada mehu mehu😡😡😡" Mkuu , Jobless_Billionaire ... Shida haiko katika kutembea na wadada wehu wehu.... Shida iko katika kichwa chako cha juu...kuendeshwa akili na kichwa cha chini... na kushindwa kufanya maamuzi sahihi Ulikuwa unajua wana urafiki na...
  6. TATACHACHA

    JamiiForums Tanzania Ninaomba Rasmi niwe Mlinzi wa John Heche,Viongozi wa Chadema mkipata huu Ujumbe tafadhali sana naomba mumfikishie John Heche

    UMUGHAKA ...wakwetu, Poti anawindwa sana! Mbele,kati,nyuma,pembeni....ulinzi pekee wa mungu hautoshi....azma yoko na ionwe ifanyiwe kazi
  7. TATACHACHA

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Norway (Himanshu Gulati) akutana na Spika Zungu na Eric Shigongo, atembelea Serengeti National Park

    Mtu amekuja kuenjoy mbugani kimyakimya...mshaingiza Siasa!... mtatapatapa sana!... na bado!
  8. TATACHACHA

    JamiiForums Tanzania Haya maneno mawili ni Kiswahili kilichopotoshwa na GenZ

    Kikubwa umeelewa..baaaas!...maswala ya typing error achana nayo!
  9. TATACHACHA

    JamiiForums Tanzania Haya maneno mawili ni Kiswahili kilichopotoshwa na GenZ

    Neno bwawa pia likitamkwa mahala kwenye wanawake wengi...linazua sintofahamu!
  10. TATACHACHA

    JamiiForums Tanzania Nitafurahi sana hawa wazungu wakitolewe na Morocco katika hatua ya robo fainali

    Bingwa ajaye wa WORLD CUP NI ENGLAND...!... HII NILIIONA KWENYE NDOTO! Mark this tweet...nikiona kitu ndotoni, hutokea ktk hali halisi.
  11. TATACHACHA

    JamiiForums Tanzania Unadhani ni kwanini hila za Chadema dhidi ya Amani na Umoja wa waTanzania hushindwa kila wanapojaribu kuchochea chuki, ghasia, maafa, na migawanyiko?

    Mjini zama hizi...msingi mdomo,kalamu,Smartphone!.....sio kiuno tena!
  12. TATACHACHA

    JamiiForums Tanzania Naona mbuzi (GOAT) anataka kumfuata kondoo (SHEEP)

    Waambie waniwekee chachandu ya kutosha
Back
Top Bottom