Wakuu naomba mwenye kufahamu yafuatayo ajibu.nchi za ulaya wanamsupport Ukraine katika vita anayopambana nayo,sasa kwann wapalestina hawapati support yoyote kutoka nchi za kiarabu??
Mkuu Asante kwa ufafanuzi.nimekubali busara yako.ila hii jamii forum sio kama Ile ya mwanzo,utoto mwingi angalia michango ya huko juu ni hopeless kabisa.kama mtu hujui kitu kwanini asikae kmya???
Wakuu naomba kujua,Kuna hili kanisa laitwa jeshi la wokovu lipo hasa DSM.
Naomba kujua je wanna uhusiano wowote na majeshi yetu?nauliza hivyo Kuna siku kupitia redio nilimsikia mtumishi anaongoza Ibadan anaitwa meja---!mwenye uelewa atufungue kidogo!;
Umeongea vema sana.lingine tujifunze kusamehe na kupeana second chance.mkuu mm nimechagua kusamehe Ili maisha yangu yawe marefu coz every new day is a second chance.
Kuna siku utauliza hv unywaji wa chai una madhara.mzee usiwaze kuhusu maisha utakonda bure.kula kunywa upendacho,ondoa stress.upendo uwe ni wimbo wako hakikà utaenjoy life.
Mkuu Kwa nilipo Malawi naona kuna kaunafuu kiasi kuliko home tz ingawa ni Malawi ni poor sana.huku sukari 1 kg Kwa hela ya bongo ni 1400 na ni super sembe 5 kg ni 2700 mfano Tu la muhimu serikali huko ikubali kuingiza washindani HATA wa kigeni isizuie Kila kinachoingizwa borders la muhimu kiwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.