tatizo sio movie za nje, ni ubora wa filamu zetu
utakuta
#jambazi kavamia nyumbs akiwa kavua kiatu!
#jini kavaa Dila
#jini linavuka road kwa kuangalia kushoto na kulia
#no creative
#wengi wamekimbia shule
#uigizaji wamejifunza kwenye TV
hakuna jipya
Ndio mnishawishi ninunue Movie za...
Huyo in moja ya wanaofanya wanafunzi wafeli maana unawapa wanafunzi kitu ambacho hakipo kwwnye mtaala Sasa GIS mwanafunzi itamsaidia nini mbinu za ufunsishaji ndio kila kitu unaweza ukasoma miaka mitatu lakini ukajua kusahihisha tuu hata kutunga paper kwa kutumia TOS ukashindwa kama Mwalimu.
Mimi CLINTON M. MWALEMBE mwalimu wa SEKONDARI halmashauri ya URAMBO-TABORA, natafuta mtu wa kubadilishana nae yeye aje huku mimi nije halmashauri Iringa
0756467645
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.