Natafuta kazi ya kufundisha

Natafuta kazi ya kufundisha

Wakuu bado sijafanikiwa.
Mwenye kuweza kunisaidia nitashukuru.
 
Natoka nje ya hitaji lako la kazi ya kufundisha.

Unaweza pia kuapply kazi za community development hasa kwenye NGOs na International Organisations.

Hata kama ni internship/volunteering huwa wanatoa allowance lakini pia utapata uzoefu, utajenga CV na kupata good referees.
 
Natoka nje ya hitaji lako la kazi ya kufundisha.

Unaweza pia kuapply kazi za community development hasa kwenye NGOs na International Organisations.

Hata kama ni internship/volunteering huwa wanatoa allowance lakini pia utapata uzoefu, utajenga CV na kupata good referees.
Nitashukuru pia kwa hii.
Usawa huu hakuna kuchagua kazi
 
Ukisikia mwalimu wa Chemistry anatafutwa unijuze. I'm degree holder Bsc. Ed nimemaliza 2015 nipo competent kufundsha O level mpk A level


Wakuu habari za jioni.
Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu 2015.
Nimesoma Bachelor of Arts with Education na masomo ya kufundishia ni History na Geography.

Nimeamua kuja kwenu ili kwa yeyote mwenye uwezo wa kunipatia au kuniambia sehemu ninayoweza kupata nafasi ya kufundisha nitashukuru sana.
Iwe shule za English Medium au Sekondari nitafundisha.

Wapo watakaoniambia nizungukie shule mbalimbali ila nimeshafanya hivo ila bado sijapata nafasi hivo nimeonelea si vibaya kujaribu na huku pia.
Pia nikipata sehemu nikajitolea ili kupata uzoefu itakuwa vizuri pia.
Ninaishi Arusha.
Ahsanteni.
 
pole dada me too niko in same position na niko hapa hapa arusha,hope one day Mungu atabariki,hata mm nlishazunguka sn kikubwa kutokukata tamaa..
 
Kuna shule moja inaitwa twaybat,ipo kata ya kimanzichana,wilaya ya mkuranga mkoa wa pwani,kama upo na uhitaji,tuma meseji au ni pm namba yako nikuulizie kesho then ntakupa majibu kupitia hiyo namba,wakikupa kazi,mimi ntakupa room for six month free,mengine utajitegemea,
nasubiri pm yako dada
Imenigusa sana mkuu, ubarikiwe.
 
Wakuu habari za jioni.
Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu 2015.
Nimesoma Bachelor of Arts with Education na masomo ya kufundishia ni History na Geography.

Nimeamua kuja kwenu ili kwa yeyote mwenye uwezo wa kunipatia au kuniambia sehemu ninayoweza kupata nafasi ya kufundisha nitashukuru sana.
Iwe shule za English Medium au Sekondari nitafundisha.

Wapo watakaoniambia nizungukie shule mbalimbali ila nimeshafanya hivo ila bado sijapata nafasi hivo nimeonelea si vibaya kujaribu na huku pia.
Pia nikipata sehemu nikajitolea ili kupata uzoefu itakuwa vizuri pia.
Ninaishi Arusha.
Ahsanteni.
Ungekuwa unaishi dar,ningekusaidia upate kazi sehemu moja hivi safiiiii
 
Back
Top Bottom