Kuondoka Nyumbani kwanza ni swala moja la kujitambua, lakini linaitaji mamuzi magumu sana na sio swala la kujionea huruma au la kujiuliza sasa itakuwaje?
Napenda kuelezea jinsi ya mimi nilivyo ondoka nyumbani na kwenda mtaani na kuanza kupanga geto.
Nilimaliza chuo mwaka juzi nikiwa na umbri...
Kuna mtu akisoma hivi anajuwa ni gafla anapata wateja na anapata pesa. 😂😂
Cha kuongezea hapa ni kwamba.
1. Soma kwanza jifunze juzi na chagua juzi ambayo unaona ni rahisi kwako kuifanya.
2. Baada ya hapo fanya kwa kujitolea ili uweze kuona ni kweli unauwezo. Mfano nitaongelea kwa graphics...
Habari sio mtalaam wa mambo ya ndoto but napenda kutafakari kupitia details.
Ukicheki hapa una details kama.
1. Safari ya ndege njee ya nchi na ni yakikazi.
2. Group la wafanyakazi wenzio wakifanikiwa kuondoka kwa ndege.
3. Unashindwa kusafiri kisa passport.
Kwangu naona nikama opportunity...
Baba Kabla ya yote tambua ndoa ni taasisi na sio kikundi cha watu wa wili.
Kunakitabu cha wasabato kinaitwa NYUZI YA KAMBA TATU.
Kitakupa mwongozo mzuri wa kumpata mtu hatua za kuwashirikisha wazazi mpaka kufika kuowana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.