Recent content by Tanzaone

  1. Tanzaone

    Trade War: Baada ya China kujibu mapigo,Marekani yarusha kombora lingine

    grab the popcorn and watch...Chinese are real competitors....they can be resiliant....Americans are smart and tough!
  2. Tanzaone

    Paul Makonda katoa ujumbe mzito kuwajibu wanaotoa waraka wa kuikosoa Serikali

    Historia inasubiri kumhukumu huyu mtumishi alienajisi nafsi yake na kilevi cha madaraka aliyoyatumia vibaya....sasa anafanya harakati za kuikwepa hukumu...hofu hofu hofu imejaa nafsini mwake...haya ni mahangaiko tuu!
  3. Tanzaone

    Waraka wa Maaskofu KKKT: Tunasikitishwa na matukio ya kupotezwa watu, kubanwa kwa Uhuru wa Mahakama, Bunge na Tume ya Uchaguzi...

    sidhani kama kuna tamko au waraka kutoka kwa maaskofu ambao ulishawahi kutolewa kama hivi....wale wanaojitoa ufahamu wanapaswa tuu kujiuliza kwanini kipindi hiki....?Kwa nini awamu hii? Je ni bure tuu?Hakuna hoja zenye mashiko zilizopelekea waraka huo kutolewa?
  4. Tanzaone

    Maendeleo ya China yaliletwa na Katiba Mpya?

    Fikra potofu.....
  5. Tanzaone

    Maendeleo ya China yaliletwa na Katiba Mpya?

    Acha Siasa kwenye mambo ya utu ndugu....utu ukithaminiwa maendeleo ni matokeo...na yanaakisi thamani ya utu....wachana na habari za kujenga vibanda...ukijenga utu na fikra mtu atajenga nyumba otherwise ni kujenga vibanda na mazizi watakamoishi mbuzi na kuku na sio watu....!
  6. Tanzaone

    Maendeleo ya China yaliletwa na Katiba Mpya?

    Huku ni kufilisika kifikra kwa kiwango kisichoelezeka, Hivi Unajua gharama ya maendeleo bila uhuru kweli wewe....?Unataka theluthi ya watanzania watolewe kafara ili magorofa yajengwe alafu bado wabaki kwenye magereza ya kifikra....magereza ya kihuni kuliko unavyoweza kufikiri...kafara ya maisha...
  7. Tanzaone

    Kulikoni Makanisa ya Tanzania yanakengeuka? Tuanze na Tamko la KKKT

    Hakuna haja ya kupiga debe...Akitenda vyema je hatakubaliwa?
  8. Tanzaone

    Rais Magufuli: Waliovamia ardhi ya Wizara ya Elimu walinipa kura, wasihamishwe

    U are missing the point....Shida sio kuwaacha katika eneo la hifadhi, Shida ni nini msukumo wa kuwaacha, Kuwahamisha watu sio shida, shida hua ni je Utaratibu wa kuvunjia watu makazi yao unafuatwa, ikiwa taratibu za kuvunja makazi ya watu zinafuatwa then malalamiko yoyote hukosa mashiko, its...
  9. Tanzaone

    Rais Magufuli: Waliovamia ardhi ya Wizara ya Elimu walinipa kura, wasihamishwe

    Kituko cha Ubaguzi na Upendeleo huu wa wazi wazi wa CCM ni kua wanajitengenezea kitanzi wao wenyewe na Wananchi wanaopendelewa. Kwani Shule ilikua ni kwa maendeleo na faida ya nani? Ni nani anayepoteza kwenye upendeleo huu? Lakini Pia hii ni one more point katika uvunjifu wa Sheria kwa...
  10. Tanzaone

    Wakati Mbowe anaondolewa Mashine ya kupumulia Hospitali ya KCMC, Viongozi 6 CHADEMA waripoti Kituo Kikuu cha Polisi Dar

    Namuombea Mheshimiwa uponyaji na nguvu za kutosha kabisa, Tanzania bado inamhitaji saana!
  11. Tanzaone

    Kafulila: IMF wamethibisha bajeti ya 2017/2018 haitekelezeki kama ilivyokuwa ya 2016/2017

    Atleast huu ujumbe ungetoka kwa ZZK...Kafulila ameshajichanganya saaanaa kwa kweli...He is a wrong moderator on this debate.... Uchambuzi wake ni mzuri na mzito, ila maamuzi aliyoyafanya hivi karibuni huu ujumbe unaishia kua maji tuu....totally diluted, How does a mind that does an analysis like...
  12. Tanzaone

    Mwalimu Nyerere aliisuka 'System' ikasukika,tunaishi kwenye kivuli hicho

    Binafsi naona kua mifumo yote miwili ina mapungufu makubwa na kila mfumo una ukatili wake pia....Lakini Nanadhani Mfumo wa soko huria (kibepari)...kwanza unasynchronize na principles of nature implying that human race is diverse in so many ways including thought and action we can never be the...
  13. Tanzaone

    Mwalimu Nyerere aliisuka 'System' ikasukika,tunaishi kwenye kivuli hicho

    Naunga mkono Hoja Mkuu Kitu kilichokua kinamtia kichefuchefu Mzee na kama ukidadisi ndio kilikua moja ya misukumo yake mikuu ya kufanya maamuzi ni ile hali umatabaka,Mzee alikua ana kisirani cha hali juu sana na matabaka...hivyo alipoona dalili za utabaka kwenye ubepari....mzee aliudemonise...
  14. Tanzaone

    CCM inaligawa taifa, Polepole anazunguka nchi nzima anafanya mikutano anatisha watumishi wa umma, wapinzani ni marufuku

    Sina uhakika wa yaliyomo hapo juu but i sense political radicalism with this Polepole Guy, Ideological radicalism, this kind of individuals are like an unmanifested fatal malignancy in the governance of any nation. People will agonize in a great deal of pain if these individuals get a position...
Back
Top Bottom