Kafulila: IMF wamethibisha bajeti ya 2017/2018 haitekelezeki kama ilivyokuwa ya 2016/2017

Kafulila ni bora ukakaa kimya, katika pande hii ya dunia ukweli huitwa uchochezi na inaweza pelekea kuhojiwa!
Ila mimi nilikuwa nadhani kuwa kama utekelezaji wa bajeti iliyopita haukufikia 50% bauu varsi wangepanga bajeti ya trillion 18 ili kuwa realistic. Haya mambo ya 'aiming higher' yanatupotosha maana ni sawa na mtu wa miaka 45 anayefanya mazoezi kwa bidii ili aweze kucheze world cup.
Si ni huyu huyu Kafulila ameahmia CCM kumuunga mkono JPM wakati mambo ndo varu varu hivi!
 
Si ni huyu huyu Kafulila ameahmia CCM kumuunga mkono JPM wakati mambo ndo varu varu hivi!
Uneducated is far and much better a million times than 'MIS-EDUCATED' (Kulishwa matango pori). Sijui Kizungu vizuri lakini kauli hiyo ndio inatugharimu Watanzania sasa, wasomi ni sehemu ya tatizo na wametoa mchango mkubwa sana kudidimiza nchi.Usomi na sayansi ya Tanzania unategemea kiasi cha njaa na woga vya mhusika kwa wakati huo tofauti na wenzetu.
Na huyu kijana aliyesoma kwa taabu tukidhani atajitambua lakini anaishia kuangukia huko huko!
 
Uneducated is far and much better a million times than 'MIS-EDUCATED' (Kulishwa matango pori). Sijui Kizungu vizuri lakini kauli hiyo ndio inatugharimu Watanzania sasa, wasomi ni sehemu ya tatizo na wametoa mchango mkubwa sana kudidimiza nchi.Usomi na sayansi ya Tanzania unategemea kiasi cha njaa na woga vya mhusika kwa wakati huo tofauti na wenzetu.
Na huyu kijana aliyesoma kwa taabu tukidhani atajitambua lakini anaishia kuangukia huko huko!
Katika hii dunia, hakuna kitu kibaya kama njaa
 
IMF sio Internatonal Ministry of Finance
Ni International Monetary Fund
Kwa mambo ya bajeti yetu na itatekelezajwe hayawahusu
Hizo ndio taasisi zilizoundwa mahususi na mabepari, kukandaniza nchi maskini
Don't trust them,hawapo pale kwa kusaidia nchi maskini
Wapo pale kwa kukandaniza
Mbona tunwaomba pesa? Juzi Waziri Mpango kaomba mkopo kwa ajili ya ku booat uchumi wetu.
 
Atleast huu ujumbe ungetoka kwa ZZK...Kafulila ameshajichanganya saaanaa kwa kweli...He is a wrong moderator on this debate.... Uchambuzi wake ni mzuri na mzito, ila maamuzi aliyoyafanya hivi karibuni huu ujumbe unaishia kua maji tuu....totally diluted, How does a mind that does an analysis like this doesn see that the root cause of this gigantic problem is Systemic Problem.....Utawala Bora.... and the known culprit hapa ni Chama tawala.

Ni kweli kua ndani ya chama tawala kuna wenye mitazamo yenye akili ya kiuongozi lakini si kweli kua Mganga atajiganga, Mabadiliko ndani ya CCM yatakuja pale ambapo CCM will expirience a political Crisis and that is to be out of Power, hapa ndio CCM itatia akili kwa upya na usahihi tena....Mbegu isipokufa haizai/haioti. For a change to take place in CCM the party must go through a political Crisis (mfano Mzuri ni Nape ingawa bado hajakipata vizuri), in a bigger picture this will be good for the Country.

Sasa kafulila Sijui amewazaga nini kwa kweli...

Tunajadili mada lakini tubadilishiwe Moderator, ZZK yupo vzr kwenye hii sekta!
 
Back
Top Bottom