Hotuba aliyoitoa Mh.Zitto ilikuwa fupi lakini yenye ujumbe mzito saana na imejaa uelewa na uzalendo wa hali ya Juu,ni Hotuba fupi na imejaa mambo mengi Saaana ila tatizo ni moja,ni watu wachache saana wanauwezo wa kutafsiri maneno ,kwani hata kiswahili kinahitaji tafsiri pia,kwa sababu hiyo ni...