The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 7,382
- 8,437
Awamu ya 6 chini ya Rais Dkt. Samia inaendelea kutoa SoMo kwa majirani..
Baada ya Tanzania Kuanza Kutoa Mikopo kwa Wanafunzi wa Diploma ,Ruto ameamua kuiga Tanzania na yeye ataanza kuwapa mikopo diploma aspirants..
Ya kuiga yako mengi,next budget tutaanza kutoa ruzuku kwa Wanafunzi wa VETA/ technicians ili wapate skills bila kikwazo, Karibuni kuiga Ni Hilo.
Ujirani Ni kuiga Mambo mazuri, hongera Jirani 👇
Baada ya Tanzania Kuanza Kutoa Mikopo kwa Wanafunzi wa Diploma ,Ruto ameamua kuiga Tanzania na yeye ataanza kuwapa mikopo diploma aspirants..
Ya kuiga yako mengi,next budget tutaanza kutoa ruzuku kwa Wanafunzi wa VETA/ technicians ili wapate skills bila kikwazo, Karibuni kuiga Ni Hilo.
Ujirani Ni kuiga Mambo mazuri, hongera Jirani 👇