Recent content by Tanzanian Eagle

  1. T

    Rais Kikwete afanya Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri. Sitta, Mwakyembe wabadilishiwa Wizara

    mimi sio mshabiki wa politicio lakini heri kuwapa wafanya biashara(UKAWA) kuliku kuwapa wafanywa biashara(ccm).
  2. T

    Lowassa, wananchi wanakuhitaji zaidi ya unavyowahitaji wewe

    tahadhari kumpenda lowasa si kosa' swali kwenu mumpendao 1:mnapenda lowasa kwa lipi hasa? Wakati alijiuzulu kwa kashfa ya ufisadi? hatakama hakua fisadi lakini ktk cheo chake kama waziri mkuu alishndwa kuwadhibiti mafisadi wa richmond na akakubali huo udhaifu alio nao kwa kujizulu je tukimpa...
  3. T

    Mwigulu Nchemba apata wakati mgumu Handeni

    Hivi kumbe hawa nao ni vijana?
  4. T

    Barabara mpya ya Msata-Bagamoyo inasambaratika hata kabla ya ufunguzi

    Haina tatizo naunda tume ya uchunguz(prezda)
  5. T

    Meya Jerry Silaa wa Ilala amfikisha Polisi Mwenyekiti wa Mtaa wake kutoka CHADEMA

    Na wewe ni pumba au mashudu maanda umejijumuisha huko
  6. T

    CCM nambari wani

    kwel uzalendo unashika kasi upo fresh big up
  7. T

    JamiiForums Members Vs. TWAWEZA Tutafute Ukweli

    Dr Slaa president wa mioyo yetu
  8. T

    Matokeo kidato cha nne yamechakachuliwa

    Jamani kwanza wote tumeoza kwani wanafunzi hawa wako kwenye jamii iliyoyokosa maadili kwa kiwango kikubwa kwani tabia zooote mbaya walizo nazo wameiga kwetu ndio maana tunashindwa hatakuwakaripia tunaishia kusema niliona nikasikitika sana so wote tubadilike, pili hawa waalimu waliopewa jukumu...
  9. T

    Natafuta Nyumba Ndogo

    Mmmmmmmh! Utani sawa lakini mwenye hofu ya Mungu jamani sijui kama anakuaga na mawazo yakutumia mpaka TIGo! Alaaaa! Punguza bwana
  10. T

    How to use JamiiForums effectively

    Um a newcomer on this site pls i need your welcoming and real help whenever i do wrong
Back
Top Bottom