Pukudu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 3,148
- 2,219
Bila kuboresha mazingira ktk Shule za kata matokeo yataendelea kushuka kitafika kipindi hata wakiweka A iishie 45 bado wanafunzi hawataipata.... Waache SIASA wapeleke vitabu, walimu, wajenge maabara na zana za kufundishia na kujifunziaKaka ukistaajabu ya musa utazima kuona samsoni akivunja miamba.. Nilicho sikia mimi ni kwamba eti kwa kuwa shule za kata ndio hasa hufanya vibaya! Hzo ndizo zimelengwa kufanyiwa hyo adjustment ili serikali waonekane wame upgrade ktk kusimamia muamko wa elim. Ndo taifa letu jamani. Litawaliwalo na watu wazima waigizaji na ubishow