Recent content by tanzaniaman

  1. T

    Msaada tafadhali,Kipato cha binti cha mtoa nduki jamaa..!

    Jamaa noma...! Mke wako akiteuliwa kuwa Asha-Rose Migiro utamwacha? It's just a matter of logical thinking.
  2. T

    Nchi yetu inaitwa Tanganyika

    Wana JF naomba kuelewa vizuri kwa nini matangazo yasiwe miaka 50 ya iliyokuwa Tanganyika? Mwaka 1961 hakukuwa na nchi inayoitwa Tanzania. Nawasilisha hoja.
  3. T

    Matokeo Ni saa 8 ya Mchana au Saa 8 ya Usiku?

    Wakuu naomba msaada wenu, nilitegemea kama wanajumlisha kwa njia ya kisasa basi matokeo yangewahi kutoka! hii results management system ikoje? Wataalamu wa IT msaada wenu tafadhali ili tuweze kuelewa inavyofanya kazi.
  4. T

    Mgombea ubunge wa UPDP Igunga

    Natamani na leo nimwone....! Nilifurahi sana. Kama tunawapa wenye akili zao wanachemka ni bora kumpa chizi au cha pombe kama huyu. Hao wanaojifanya madaktari wa akili ndo wameuza rasilimali zetu zote kwa wazungu wametuacha maskini. Kabla watu hawajasoma walikuwa hawawezi kujitawala?
  5. T

    Tabora: Wabunge wa CHADEMA waachiwa kwa dhamana; Kupokewa kwa maandamano Igunga

    Mbona habari inaeleweka unataka ufafanuzi gani?! inasomeka"Tabora: Wabunge wa CHADEMA Sylivester Kasulumbayi na Suzan Kiwanga Waachiwa kwa dhamana"
  6. T

    Seriously! I want to join freemasonry..

    <br /> <br /> Mpaka umeamua kujiunga na freemason hope yu know much about it sasa unataka usaidiwe nini? Naona wewe ndo mwoga, unataka kujiua unauliza nn?! KAJIUE ACHA KUTAFUTA USHAURI KAMA UMEAMUA KUFA.
Back
Top Bottom