Wana JF naomba kuelewa vizuri kwa nini matangazo yasiwe miaka 50 ya iliyokuwa Tanganyika? Mwaka 1961 hakukuwa na nchi inayoitwa Tanzania.
Nawasilisha hoja.
Wakuu naomba msaada wenu, nilitegemea kama wanajumlisha kwa njia ya kisasa basi matokeo yangewahi kutoka! hii results management system ikoje? Wataalamu wa IT msaada wenu tafadhali ili tuweze kuelewa inavyofanya kazi.
Natamani na leo nimwone....! Nilifurahi sana. Kama tunawapa wenye akili zao wanachemka ni bora kumpa chizi au cha pombe kama huyu. Hao wanaojifanya madaktari wa akili ndo wameuza rasilimali zetu zote kwa wazungu wametuacha maskini. Kabla watu hawajasoma walikuwa hawawezi kujitawala?
<br />
<br />
Mpaka umeamua kujiunga na freemason hope yu know much about it sasa unataka usaidiwe nini?
Naona wewe ndo mwoga, unataka kujiua unauliza nn?! KAJIUE ACHA KUTAFUTA USHAURI KAMA UMEAMUA KUFA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.